Wanafunzi wa Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya St.Rosalia iliyopo Kinyerezi Wilaya ya Ilala Jijini Dar es Salaam wakifanya maonyesho ya sarakasi jana wakati wa mahafali ya darasa la saba shuleni hapo jumla ya wanafunzi 55 walihitimu.
Wanafunzi wa Wanafunzi wa Shule ya msingi ya St.Rosalia iliyopo Kinyerezi Wilaya ya Ilala Jijini Dar es Salaam wakionyesha umahiri wao wa mchezo wa judo wakati wa mahafali ya darasa la saba shuleni hapo jumla ya wanafunzi 55 walihitimu.
Wanafunzi wa Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya St.Rosalia iliyopo Kinyerezi Wilaya ya Ilala Jijini Dar es Salaam wakionyesha umahiri wa kucheza muziki wakati wa wakati wa mahafali ya darasa la saba shuleni hapo jumla ya wanafunzi 55 walihitimu.
Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya St.Rosalia iliyopo Kinyerezi wilaya ya Ilala Jijini Dar es Salaam wakionyesha ubunifu wa jiko walilolitengeneza linalotumia mionzi ya jua jana wakati wa mahafali ya Darasa la saba shuleni hapo, jiko hilo linaweza kuchesha maji mpaka yakachemka.




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...