*Ujenzi wa madarasa mpya na maboresho ya miundombinu ya usafi yatasaidia zaidi ya wanafunzi 1,000

Babati 
SERIKALI ya Japani kupitia mpango wake wa ruzuku unaojulikana kama Grant Assistance for Grassroots Human Security Projects (GGHSP) imejitolea kutoa hadi Dola za Marekani 109,203 (takriban TSh 275 milioni) kusaidia ujenzi wa nyumba ya madarasa pamoja na maboresho ya mazingira ya usafi katika Orng’adida Primary School iliyopo wilayani Babati, mkoani Manyara.

Mradi huo umeidhinishwa rasmi Oktoba 22, 2025 ambapo mkataba ulisainiwa na Balozi wa Japani nchini Tanzania, Mikami Yoichi, na Ms Roselyne Mariki, Meneja wa nchi wa shirika So They Can Tanzania.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...