hatimaye kikao cha utandawazi cha heksinki kimemalizika na tanzania na finland zimeahidi kuendeleza libeneke la utandawazi kwa miaka miwili ijayo. pichani ni ujumbe wa tanzania. mie simo kwa vile ndo niliepiga picha. au vipi. lakini rasta unaziona upande wa kushoto? hudhani ni za ndesanjo...
Home
Unlabelled
tamati ya kikao helsinki
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...