muhidin maalim gurumo (kushoto) na saidi mabera ni wakongwe wa muda mrefu waliosalia katika bendi ya Msondo Ngoma Music Band ambayo zamani ilikuwa ikijulikana kama Nuta Jazz, Juwata Jazz na Ottu Jazz kulingana na mabadiliko ya jina la chama cha wafanyakazi cha tanzania ambacho kiliimiliki bendi hiyo. Hivi sasa jina ni Msondo Ngoma Music Band na hivi sasa bendi imejitoa jumuiya ya wafanyakazi na inajitegemea. Mtindo ni ule ule "Msondo Ngoma".
Home
Unlabelled
Msondo Ngoma baba wa muziki
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...