Kwa mlio ughaibuni tu; hapa ni sehemu gani ya Dar?

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. Michuzi una helikopta siku hizi nini? Ngoja nifikirie nitakupa jibu kuwa hapo ni wapi. Hasa hayo mapipa makubwa ndio yananisaidia kupata jibu.

    ReplyDelete
  2. Bwana wewe mambo yako ya kukwepakwepa yapunguze. Mara ya mwisho tumewasiliana ulikuwa Zenji kwenye zoezi la uchanguzi. Basi ikawa kila asubuhi nikidamka nakimbilia uwanjani kwako nikaone patashika la uchaguzi wa Zenji kwenye picha. Lakini ng'o, ndiyo kwanza ukatuletea picha za kupigiwa anagani za Mto Rufiji, Jiji la Arusha, mapokezi ya Yanga, na zinginezo.

    Hata hivyo bado nasubiri, kwa sababu nakujua michezo yako ya kurusha roho. Nadehani hiyo siku utakayotuletea Zenji katika picha itakuwa sinema ya X kwa wakubwa tu.

    Masalaam,
    F MtiMkubwa Tungaraza.

    ReplyDelete
  3. Kweli, hivi Michuzi picha za Zanzibar ziko wapi? Tunasikia huko mikong'oto, kutolewa ngeu, watu kufukiwa ardhini, askari wa JKU kuuawa, watu kukimbilia mwituni, n.k. Ziko wapi picha hizo?

    ReplyDelete
  4. zaja yakhe...mbona una haraka weye?

    ReplyDelete
  5. zaja yakhe...mbona una haraka weye?

    ReplyDelete
  6. Bw. Michuzi,
    Haya sio maeneo ya Pugu Road, Industrial area?

    ReplyDelete
  7. Kurasini karibu na bandarini

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...