Home
Unlabelled
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Pichani ni moja ya vyuma kadhaa zilizosheheni mashine za kurudufia kanda za video zilizobambwa katika mojawapo ya 'viwanda' haramu vya kurekodia vilivyojazana jijini na kuifanya tanzania iongoze kwa kuwa mtambo wa kuchapa kazi za watu bila idhini na kuitwa leading piracy country in Africa
ReplyDeleteWanasiasa wetu wamekuwa wala rushwa wakubwa na hawajali kujenga njia za uchumi ili watu wapate kazi halali hivyo vijana waende wapi?
ReplyDeleteBongo siunaijua tena?
WTF?
ReplyDeleteAISEE MICHUZI MBONA HAMNA UELLEZI WA HII PICHA? AU WORTH 1000 WORDS?