"Tusisahauliane kwenye enzi yako mzee..." waziri wa zamani wa kazi, maendeleo ya vijana na michezo profesa juma athumani kapuya anaonekana kumwambia Rais Kikwete hivi majuzi. Nani atakuwa waziri mkuu na nani ataingia baraza la mawaziri ni kitendawili kulichoighubika bongo kwa sasa. jamaa natarajiwa kuchagua Waziri Mkuu siku moja ama mbili kabla ya mwaka mpya, na baraza la mawaziri inshaaaalah labda siku moja ama hata wiki baada ya hapo.
Home
Unlabelled
Rais Mpya na waziri wa zamani
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
picha hapo haipo
ReplyDeleteMichuzi,
ReplyDeleteNaona ulikuwa unachapa habari huku unasherehekea Krisimasi.
Umesahau kutubandikia picha!