Vitalis Maembe akiimba wimbo wake wa "Sumu ya Teja" ambao umempaisha na kumfanya nyota wa muziki nchini. Akiwa ni mwanafunzi wa mwaka wa mwisho chuo cha sanaa bagamoyo, tayari maembe anakaribia kuzindua albamu yake ya kwanza yenye nyimbo 11. ukiipata sikiliza "Asalaam Aleikhum", ni bomba. Nasikia mnalalamika siwawekei hizo nyimbo humu. nikiruhusiwa ntaweka, mashhoffu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Malaika nakupenda malaika (2 times)
    Nami nifanyeje Kijana mwenziooo
    Nashindwa na mali sina weeee
    Ningekuoa malaika

    Ubeti wa pili umeniona. Bony Makene endelea...

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...