Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere anakumbukwa kwa mengi, ikiwa ni pamoja na kufanya watu waishi kwa kutumia jina, taswira na sauti yake miaka kadhaa baada ya kufariki dunia. Huyu jamaa na 'bodigadi' wake ni mmojawapo anayeishi kwa jina la mwalimu, akimuigiza kila kitu na kujipatia chochote kitu kwenye tafrija mbalimbali.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 16, 2006

    SASA HUYO JAMAA KWEKA VITU GANI KWENYE MIDOMO YAKE HIYO. MWALIMU HAKUWA NA MUSITACHI WA HIVO BANA. KWANINI ASITENGENEZE NA HIZO NYWELE VIZURI ILI AMFANANIE KABISA?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...