Hapa nipo uwanja wa ndege wa hamburg na marubani washkaji wenzangu toka sehemu mbalimbali duniani tulipofurahi kukuta ndege ya 'africa' pale. ni ya south african airways, kampuni iliyonunua ATC na sasa leo Kikwete amemuomba waziri wa miundombinu (nakwambia, wizara za siku hizi balaa!) basil mramba aongoze tume ya kuangalia namna ndoa ya SAA na ATC inavyoweza vunjika bila ngumi...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Kikwete inamaana hana data au? maana kila kitu tume na delegations!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...