Serikali ya awamu ya nne kwenye sherehe za mapinduzi kwa mara ya kwanza, kushoto ni wastaafu Benjamin Mkapa na Dr salmin Amour. kati yao ni mama wa kwanza salma kikwete.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Michuzi ahsante sana kwa picha hii.Jambo moja tu limenifanya nirudi nyuma kidogo na kujiuliza,hivi kuna ubaya wowote wa hawa viongozi wetu kuanza kujivika mavazi ya "kikwetu" kama alivyofanya Mama Kikwete hapo pembeni?Mavazi yanaweza kuwa jambo dogo sana kwa wengi wetu lakini marafiki na mavazi huashiria sana wewe ni mtu wa aina gani na una mtazamo upi.

    ReplyDelete
  2. Hapo siwaoni viongozi wakuu wa upinzani hasa CUF!!!!Unaweza kutumegea sababu kidogo za kutokuwepo kwao????

    ReplyDelete
  3. Bwana Fikra! mbona hizo ziko wazi? hujasikia huko unguja watu wanajiongezea ulinzi kwa kuwaogopa binadamu wenzao? sasa kama wakubwa wanajiongezea ulinzi wanachama wananchi walalahoi kina wenzangu na mie watafanyaje? haya mambo yakiachiwa yakue inaweza kabisa kuwa itafikia wengine tujivue uanachama wa vyama vyetu ili tusitengwe na jamii zetu!! kuna kazi ya kufanya hata JK analijua hilo! si umemcheki hata dogo hapo mitaa ya kati hajiamini kabisa? good work michuzi!

    cheers!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...