lucas mkenda a.k.a mr nice baada ya kupigwa na dudu baya jukwaani

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. hivi beef yao ni nini

    ReplyDelete
  2. Jamani, sasa hiyo ni kama EAST COAST, WEST COAST wars za hapa USA nini?

    Pole sana Mr. Nice.

    ReplyDelete
  3. Maskini mr nice, na yeye aangaliage na watu wa kuvurungana nao.

    ReplyDelete
  4. Mnashangaa nini wakati mtu mwenye jina lake Dudubaya hata kwetu uzaramoni ukimpa mtoto jina baya utajuta mwenye

    ReplyDelete
  5. Ujinga wake utamtoa nishai kila siku...

    ReplyDelete
  6. hey, huyu fara alikua anafanya nini mpaka apigwe na nduguye!Inaonekana jamma huyu ni mkolofi kwani na nyimbo anazoimba kama ile ya KUKU KAPANDA BAISIKELI haina maana na ikiwa ina maana aliku anawatukana watu.Tunataka nyimbo za mafundisho kama za Mr Ebbo, MIMI MMASAI"!Kamwongeze tena bwana Dudubaya akiendelea!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...