
Mama wa kifaransa akikatisha toka sokoni akiwa na kitoweo. hapo ni nje kidogo ya toulouse... kumbe hata nyie huko ughaibuni mwaka majani kama mbuzi, nilidhani manyama na makuku tu. hahaha... rudini mle vyakula vya majani fresh kama vile mchicha, msusa, mbaazi na kadhalika. msitegemee sana vya kuzindika (junk food) tofauti na sie wenzenu...
Michuzi mama kanunua maua ushaona kitoweo!
ReplyDelete