Home
Unlabelled
uandishi bongo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
its terrible!!!and reality!! ndio maana uandishi ni kitu kinahitaji umakini na ni mapambano siku zote!! kinachohitajika ni kujenga mfumo sahihi wa kidemokrasia unaokubali binadamu hukosea na kukosolewa ni mujibu!
ReplyDeleteHii hali ni dhahiri waandishi wako katika mazingira magumu dumu dawamu toka enzi maandishi yalipoleta uwakilishi wa matamshi ya lugha mbalimbali za binadamu.
ReplyDeleteHaya hebu sasa msikilize Mbunge mmoja wa CCM kutoka jimbo la Busanda Bw. Kabuzi Rwilomba alivyotoa maneno ya kuwadhalilisha waandishini haki yake kusema kwa kuwa mdomo ni mali yake na ameumbwa kusema pale anapohitaji kusema.
Amesahau kabisa kama yeye ni mmoja wa wabunge ambao kabla ya kuchaguliwa walipenda sana kuandikwa na kuwabembeleza waandishi wa habari kutoa taarifa zao magazetini si mbaya kwani tumekuwa ni sawa na kisu chenye maslahi wakati wa kukata tu ilhali kama hakuna cha kukatwa kinabaki na kutu daima dumu,tusubiri wakati wa uchaguzi wa 2010 ndipo tutaanza kuonekana umuhimu wetu kwa wabunge wa aina ya Rwilomba
Mbunge huyu ameripotiwa katika vyombo vya habari akiwataja waandishi wa habari ni ombaomba.
Wakatabahu