
maulid dilunga "mexico" aliyekuwa yanga na sasa ni mfanyabiashara na mshauri chama cha mpira, fred felix 'minziro' alikuaga yanga sasa kocha wa ruvu stars, lawrence mwalusako kachezeaga yanga na pan sasa anafanya kazi katika kampuni binafsi na mmoja ya wasomi wachache wachezaji, mtemi ramadhani alikuwa tra sasa mratibu moro united na pia, leogard chilla tenga alichezeaga pan na timu ya taifa na sasa raisi wa chama cha mpira na pia kibosile kampuni ya landlover, zamoyoni mogella 'golden boy' alichezea simba kisha yanga na taifa stars na sasa anafanya biashara, nimesahau, juma jenerali mkambi alichezea yanga na taifa sasa anafanya biashara na ni mshauri tff na juma mensah pondamali, alichezea pan sasa ni kocha wa makipa na ni mfanyabiashara. natumai alieomba ataridhika kiasi...
Pondamali hajaacha vituko!
ReplyDeletemark
Poa sana. Lakini Michuzi umesema wanafanya biashara, biashara gani?
ReplyDeletepeter tino yuko wapi?
ReplyDelete