huyu ndiye mheshimiwa mbunge amina chifupa wa mpankanjia a.k.a mama shughuli, mmoja wa wabunge mashuhuri vijana

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 17 mpaka sasa

  1. Kwa mtaji huu tuna kazi.
    Londo

    ReplyDelete
  2. mzigo wa jk huu baba.kcc

    ReplyDelete
  3. Wabongo kwa kuchonga mmezidi kha!! Just cause yuko kwenye hiyo position basi kila leo mnatafuta sum negative to say. Acheni wivu.

    ReplyDelete
  4. Naungana na Londo. Hivi huyu kweli anaweza kuchambua na kudiscuss issues? Au ndio ile mizigo ya ujinga tunayorundika kule bungeni?

    ReplyDelete
  5. Jamani apewe nafasi huyu binti wa kuonyesha makucha yake.

    ReplyDelete
  6. Bongo kiboko, dada kama huyu anaweza zungumzu point gani bungeni? Anajua kweli kama sasa hivi Bongo tuna njaa?

    ReplyDelete
  7. Michuzi,

    Hii picha umepiga wapi? Hii nyumba ni nzuri sana.

    ReplyDelete
  8. Huyu dada mna anwani yake? Nitamwomba uchaguzi ujao asimamie Kimanzichana.

    ReplyDelete
  9. Mr. Anonymous,

    Sounds to me you need to go back to grade school to learn grammar and a little etiquette.
    --Majaliwa
    PS: Bwana Michuzi Samahani kwa kutumia lugha ya Kiingereza kwenye baraza lako Adhimu.

    ReplyDelete
  10. Dondo zinatonya kuwa huyu mheshimiwa anakibui hata mbele ya festi laidi kisa ni kuwa tayari alikwisha pindua na JK kazi iko kwetu sisi vijana wa marika ya hawa waheshimiwa wa sasa maana sijui ni vigezo gani vilitumika kuwapatia ulaji maana kama alikuwa bibi yako wa zamani basi minya ulisilete balaa.

    ReplyDelete
  11. du! yaani huyu dada alipata yai kidato cha sita nae ni mbunge siku hizi. kweli bongo tumekwisha manake hata mapaka wa viongozi siku hizi wanapewa nyadhifa kama hizi.

    ReplyDelete
  12. kapata yai lakini ndio mtunga sharia na tena anaweza kuwa waziri wa fedha jk akipenda! bongo inakwenda kibongo bongo! noma.

    ReplyDelete
  13. mhhhhhhhhhhh nyie vijana hivi huko kwenu huwaga hakuna wakubwa? ngoja niendele kulala zangu mie mhhhhhhh!! lakini ni noma kwa kweli!

    ReplyDelete
  14. wakubwa kwetu wapo ila hawajapata yai kaa da-chifupa.
    inawezekana aliyanya mitiani ya jioni ile labda,tumpe nafasi naye dachifupa

    ReplyDelete
  15. Tukiendelea na hoja kama hizi tutapoteza mwelekeo,mamntiki na heshima ya blog ambayo tumekua tukiipigania kila kukicha.

    Wakati wa kujenga hoja tujaribu kuondoa jazba na chuki binafsi na sio kukazania maneno ya mitaani tu yasiyo na mantiki.Nani kawaambia Mh chifupa alipata zero kidato cha 6?au nani kawaambia anao uhusiano wa kimapenzi na JK??

    Elimu ya darasani pekee si kigezo cha mtu kushika madaraka!!!mbona utawala wa BENNY kulikua na Maprofessor na Madaktari lukuki lakini bado tukashuhudia sheria za kipumbavu zikipitishwa kana kwmba hawakufanya uchambuzi wowote hao waheshimiwa????

    Au nyie mnataka bungeni waingie vijizee tu visiokua na maono chanya juu ya matakwa ya vijana wa kizazi hiki???

    Tumpe nafasi tafadhali.Tusimuhukumu kabla ya wakati kwani naamini anaweza kufanya yale anayopaswa kufanywa!!

    ReplyDelete
  16. AnonymousMay 13, 2006

    UONGOZI NI KIPAJI,ELIMU NI MATUMIZI NA VILEVILE HAINA MWISHO,DADA AMINA HAKUNA SHULE YA UBUNGE ZAIDI YA KWENDA BUNGENI.
    KWA NINI TUNAPENDA KURUDISHA NYUMA MAFANIKIO YA WENGINE?HATA MIMI NATAMANI NINGEKUWA MBUNGE KAMA YULE MSEMA OVYO ANAVYOTAMANI,LAKINI TULILALA MCHANA TUKAAMKA USIKU.
    TUJIFUNZE KUSIFU KIDOOOOOOGO!

    ReplyDelete
  17. jamani mpeni nafasi huyu binti ndio muje kwenye conclusion nyie wabongo mmezidi angekuwa mzee mngesema anasinzia bungeni acheni wivu na chuki tizameni matokeo huyu mtoto ni mchapa kazi na mwenye huruma!at least kawafundisha kutumia deodorant bungeni manake wabunge wengine wana vikwapa kama choo!!!!!!!!!ok it's me ahlam and ma email is..
    ahlamsaleh150@hotmail.com

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...