Home
Unlabelled
chadema
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
kweli jamani tz bado tuna safari ndefu sana sasa ina maana chadema mmeshindwa kabisa kutafuta ofisi sehemu nyingine zaidi ya hiyo ionekanayo kama guest house> haaa kweli siamini kama hiyo ni ofisi ya chadema michuzi nifumbue macho
ReplyDeleteyaani ndio chama cha pili baada ya ccm nilichodhani chaweza kuchukua nchi kina mazingira magumu hivyoo?
michuzi na wewe na kina dada! Yaani umesubiri huyo mamaa awe anaelekea ndani na wewe ukasnap! Au ulimuomba afanye hisani kwa ajili ya blogu?
ReplyDeleteWewe mpuuzi nini?Michuzi embu fanya kazi yako,usiwasilkilize mateja wasio na kazi ya kufanya.
ReplyDeletesahihisho: ofisi hizi zipo mtaa wa togo, kinondoni. samahani
ReplyDeleteKweli Chadema wamekwisha. Ofisi zipo togo kwa mateja???
ReplyDeleteMbona bendera ni nusu mlingoti? kulikuwa na nini?
ReplyDeleteLondo
hii inaonyesha jinsi wabongo tulivyo chelewa bado tuko nyuma sanaaa, tujifunze kutoka kenya,zambia,malawi, wameshaeksipiriensi demokrasia , sisi bado sana. ni hatari hii sio jambo la kucheka.
ReplyDeleteserikali inabidi kusaidia upinzani sio kuwakandamiza, na hasa nyie waandishi wa habari kina michuzi. mchango wenu kusaidia upinzani ni lazima na muhimu. ndio maendeleo sio uhuni huu.
ikiwepo yanga lazima simba iwepo ama sivyo, utamu hakuna .
jamjuah
Kweli kabisa. Nguvu ambayo chama ilikuwa nazo kabla ya kampeni zilitutosha kutupeleka kwenye uchaguzi. Sasa tuko katika mpango wa kujenga ofisi mwafaka. Hata hivyo, kumbukeni vyama vingi vilianza katika ofisi ndogo na kukua kadiri vilivyoendelea kuungwa mkono. Kuwa wakala wa mabadiliko unayotaka kuyaona. JJ
ReplyDelete