klabu yetu ya mtaa wa msimbazi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. kumbe michuzi simba...haaa mpinzani ingawa naipenda blog yako.

    ReplyDelete
  2. Inanikumbusha enzi za kwenye kwenye game asubuhi, hii ilikuwa simba na yanga nini?

    ReplyDelete
  3. kaka michuzi...mimi najua wewe ni yanga ila hapa kwenye club ya wenzetu simba mbona umewaonea kwa kuipamba na washabaki wa yanga.naamini kaka una picha ambayo ingeweza kuonyesha simba nyekundu....fanya vitu vyako.Imani kondo....zemarcopolo@yahoo.co.uk

    ReplyDelete
  4. Simba wachovu. Ona jengo lao.

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 02, 2006

    Msitukane timu za watu, wenyewe tunaipenda

    ReplyDelete
  6. wakati nyumba hii inajengwa ilikuwa timu ya kwanza africa yenye makao ya ghorofa, lakini wizi/ufisadi/ubadhilifu ndiyo imerudisha kila kitu nyuma, serikali ndiyo usiseme ufisadi bado unaendelea

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...