hapa ndo dayamondi jubilii. jamani mlio ughaibuni mkija fikirieni kuwekeza kwenye kumbi za starehe. hapa bongo ni sufuri...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 12 mpaka sasa

  1. Ni kweli kabisa Bw. Michuzi. Mimi nilifikiria ni ghala f'lani hilo kumbe ndiyo Dayamondi Jubilii yenyewe, Mungu wangu! Hebu angalia vile vidirisha vya vidirisha vya ventilation kule kwenye background utafikiria godauni la Bhakhresa.

    ReplyDelete
  2. kama pachafu vile,mie nilidhani kariakoo shimoni.

    ReplyDelete
  3. hii kweli kabisa napaona pachafu, tukishakaa huku nje muda mrefu tunaanza kuona nako kwa kawaida kasheshe inaanzia pale unaporudi bongo na kuoinganisha kuona kila kitu mess!!! mh lakini poa tu nyumbani ni nyumbani tu Mungu tusaidie tupe maisha ktk kipindi cha miaka mitano mambo yatakuwa shwari watz.

    ReplyDelete
  4. diamond wamesharudisha mtaji zamani tu lakini walau wafanye ukarabati hamna kitu. We ngoja tu, kuna watu kibao nakuja kuwalaza njaa bongo!

    ReplyDelete
  5. wacha majisifu ya maneno ya kipuuzi wewe riziki hupangwa na mungu, umlaze mtu njaa wewe umekuwa unatoa riziki? kama unataka kufanya jambo fanya angalia maneno yako usije wewe ndo ukalala njaa.

    maneno ya kutaqabal mungu hayapendi hicho ni kibri, na kibri ni sifa ya mungu pekee mwanadamu hapasi kuwa nayo.

    omba mungu akuondolee tatizo hilo kwani hilo ni kubwa kuliko.

    ReplyDelete
  6. wacha ushamba wewe watu hawatangazi posa, inayotangazwa ndoa. etu ulaze watu njaa.

    ReplyDelete
  7. ni wewe mwaipopo tuu au makene ndio mnaweza kuongea maneno haya ya kulaza watu njaa.

    ReplyDelete
  8. Ni payback. Wamekula vya kutosha lakini waulize kama waliwahi kumruhusu mtu atumie ukumbi free, au hata kwa discount. Hii ni sauti ya wanyonge. Si muda mrefu vijana wa kitanzania watapata mkombozi. Na wadosi wanaolaghai na kuwanyonya vijana dawa yao inakuja vilevile.

    ReplyDelete
  9. Hii picha kama vile soko la watumwa.

    ReplyDelete
  10. kweli kabisa inakaribisha huzuni sana picha hii.

    ReplyDelete
  11. Kaka Michuzi,

    Mimi nina kijiswali. Hawa watu wanajichana ilikuwa ni sherehe ya harusi au nini? Na kama ni harusi ilikuwa ni ya nani?

    Ahsante kaka.

    ReplyDelete
  12. AnonymousMay 18, 2006

    But You have to wonder, the only place in Tanzania that can carry so many people for dinner... in a table/chair setting.

    Even Canada doesn't have that huge a banquet hall...

    And then again - this Hall is not always used for Dinner... but for indoor sports activities and trade-shows.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...