Home
Unlabelled
jk na bakhressa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Ndio, jukumu lao wafadhili lilishakwisha, baada ya JK kuingia ikulu, sasa ni mkao wa kula tu.
ReplyDeleteehe bwana hawa watu wanachangia mamilioni ya pesa ili wapate green light.mambo yanajulikana lakini thubutu kutoa kauri watakumaliza wewe pamoja na kafamilia kako.
ReplyDeleteJK ukiwaendekeza hao na ufadhili wao wa kidizaini shauri yako!nawewe jina lako litafutika kwenye akili za watu siku 100 baada ya kuondoka madarakani kama .....Si unaona mwezio kasahaulika wao biashara zao mbele kwa mbele.
ReplyDeletewezi watupu hao.huyo kikwete isingekuwa vyombo vya habari vya rafiki yake hakuna angemjua we huoni kila siku ippmedia.com unakuta jk, jk kila siku jk au lowasa ata shein wanamsahau.ipp na mengi wanajikomba kwa kikwete.wezi wakubwa hao.hakuna wanacho fanya zaidi ya kupaliliwa sifa.cheap publicity for nothing.
ReplyDelete