Home
Unlabelled
nany na dadae
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
huyo Nancy alikuwa na rangi ya ngozi nzuri tu zamani, lakini kama ameanza kutafuta weupe namna hii, mimi najiuzulu kumtamani.
ReplyDelete-BwanChaz
hivi mi nauliza hawa ni mabondia kutoka wapi alafu inaelekea wanafanya mazoezi hao ebu cheki mikono na misura.
ReplyDeleteWe Michuzi we mwana mwee! mbona unapenda sana mabinti acha hizo, utakufa shauri zakoooooo
ReplyDeletehuwezi kujua huyo jamaa wa play boy labda ana ngoma.
ReplyDeletemichuzi anapenda sifa si ameona wabongo wanapenda ngono na starehe basi kila siku ataweka picha za nusu uchi kama si nusu uchi basi wanawake tu mpaka tuseme we ndio waona anabadilika.ameona mwanamke ni chombo cha starehe au kuanika wazi.we angalia brogi yake kuanzia miezi ya nyuma mpaka sasa ni wanawake tu utadhani wake zake.