kila jumapili watu hujaa hivi lidaz klab kinondoni ambapo twanga pepeta hutumbuiza kwa posho ya alfu shing tano kwa kicha ama alfu mbili

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 04, 2006

    WE "ZEMARCOPOLO"UKITAKA KIFO WE NENDA KUINGIA BILA UCHACHE,ILE MIDUDE MNAYOIITA"MIBAUNSA"ITAINYOFOA ROHO YAKO PASINA AJIZI!NI NJE KWELI,LAKINI KUNA "FENSI"(WIGO)WA HAJA MAHALI HAPO!HEWA SWAAFI!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  2. Kaka Michuzi hapo wanapiga Twanga Chipolopolo au twanga original?

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 04, 2006

    Kwa niaba ya Michuzi, kwa kuwa hivyo ni viwanja vyangu vile vile, hapo huwa wanapiga wote Twanga pepeta na chipolopolo kwa pamoja. Huwa inakuwa kama mashindano vile ya ndugu wawili. ZEMARCOPOLO kajaribu kuingia bila kulipia uone lile fance la mamilioni litakavyokuangukia. Ukija Bongo bwana ZEMARCOPOLO naomba unitafute nikupeleke huko. Revd. EVM

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 04, 2006

    kazi kustarehe tu, ndio maana hakuna maendeleo, angalieni wenzenu wachina wanavyofanya kweli,
    bongo ndio nchi yenye bar na vikundi vya muziki vingi kuliko zote duniani.

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 05, 2006

    Sisi tunaangalia leo, HAMNA mtanzania anayeangalia kusacrifice starehe yake ili ajenge maisha bora kwa vizazi vijavyo. Tuna kazi kubwa. Siwezi nikadiscourage sana mambo kama haya hata hivyo kwa sababu hata mapinduzi ya viwanda marekani na ulaya yaliendana na mlipuko wa sekta ya entertainment. Ajira hapo baba...lakini ingeendana na savings na investments ili kupanua zaidi badala ya kuishia kununua bia na viatu vya taiwan.

    Kwa aliye interested....

    Do's and don't's from China's president Hu Jintao:

    Serve, don't disserve the people.

    Uphold science; don't be ignorant and unenlightened.

    Work hard; don't be lazy and hate work.

    Be united and help each other; don't gain benefits at the expense of others.

    Be honest and trustworthy, not profit-mongering at the expense of your values.

    Be disciplined and law-abiding instead of chaotic and lawless.

    Know plain living and hard struggle, do not wallow in luxuries and pleasures.

    SISI LIPI AMBALO TUNALO HAPO? UMOJA WENYEWE UPO KWENYE HATIHATI!

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 05, 2006

    Jamani Mtanzania sio mzembe kama watu wengi wanavyodai. Pia Mtanzania sio mjinga!

    Kuna Watanzania wengi tu wanaishi nje ya Tanzania na wanafanya kazi kwa ufanisi mkubwa.

    Tanzania imeshindwa kupiga hatua kubwa za kimaendeleo kutokana na kuwa na viongozi wabovu wasiojali maslahi ya taifa. Wanafiki tupu wameweka maslahi yao ya binafsi mbele.

    Hawa viongozi wanajua kuandaa sera nzuri lakini ikija kwenye utekelezaji wake ndio ikakuwa mbinde!

    Natumaini awamu ya JK imetambua hilo na kuondoa hawa viongozi wasiotufaa!

    Tanzania itajengwa na wenye Moyo ambao ni mimi na wewe.

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 09, 2006

    loo kwa kweli leo ni mara ya kwanza mimi kufurahi sana baada kusoma fikra za wenzangu za kujiendeleza badala ya kupoza pesa na wakati kusherekea kama picha inayo onyesha.kwa kweli wote nyie nnastahili pongezi kwa kufikiria hivyo.
    "you all have made me proud today"
    naomba mmendelee na mawazo hayo mazuri kabisa namimi naamini kabisa JK tukimsaidia tanzania itakuwa ni nchi ya kuigiwa mfano kwenye bara la afrika.
    uombe mungu amlinde na kumwesha JK atuondoe kwenye giza.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...