baadhi ya wasanii waliokuwepo uwanja wa ndege wa manzini kumpokea jk alipozulu swaziland

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 04, 2006

    shoot! Jamani huko kwa mswati kuna rape cases kama mambo yenyewe ndio Hivi. Naomba kuuliza na wanaume wao wanaonyesha nini?

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 04, 2006

    hahahhah anony hapo juu hujatulia kwa kweli picha hii imenipa raja sana

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 04, 2006

    SASA HUKO KWA HAWA MABWANA KATI YA WATU WATATU(KILA WATU WATATU)MTU MMOJA ANA VIRUSI VYA UKIMWI.YULE JAMAA ALIYESEMA "WANAUME NI CHANZO CHA MABADILIKO"KATIKA KUPAMBANA NA UKIMWI(SIO KUUTOKOMEZA!)HAKUKOSEA HATA KIDOGO.WENYEWE HAPO WAKO POA KICHIZI,LAKINI MTAZAMIJI MWENYE NGOZI YANGU KIFUNGO KIMOJAKIMOJA KINAKATIKA!

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 04, 2006

    Naona hawa wanawake walikuwa wanam beep Jk, hawamjui kama si mtu wa kuchezea kwenye mambo ya totoz

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 04, 2006

    hapa lazima JK atarudi kinyemela,kimya kimya! usifanye mchezo na nyonyo, hata mimi nitarudi!

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 05, 2006

    anyonymous,
    Swazi wanaume wanaonyesha vifua tu na mapaja. Teh!Teh!teh!

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 15, 2006

    Hawa hawajui kuwa imeandikwa usimjaribu au kumtia majaribuni mwenzio au? Hii kama sio kuwekana majaribuni tutaitaje?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...