Home
Unlabelled
maskini yanga....
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Dah Yanga meneno meeengi kumbe mpira hawauwezi
ReplyDeleteYanga wanaweza chandimu (soka la ndani) wakikutana na timu ya nje tu ni balaa kubwa. Naanza kuona kibarua cha Chamamngwana kiko hatarini
ReplyDeleteHii mijitu ya yanga eti jana imefanya fujo uwanjani mpaka FFU wakaletwa na kurusha mabomu ya machozi. AIBU SANA KWA YANGA MMEJISHUSHIA HADHI.
ReplyDeleteAh1 Sasa huyo Jack Chamangwana akafundishe mpira huko kwao hajui kitu. Mziray, Charles Mkwasa mko wapi wenzenu tunaangamia. Tunamwambia amuanzishe Gulla kazi ubishi. That boy is jesus of soccer in Tanzania lakini kama mtamwacha na Chamangwa basi mjue atazeekea bench. Chamangwana una hila na Watanzania.
ReplyDeleteMichuzi,
ReplyDeleteHawa wameshindwa wewe unatuwekea picha ya ushindi ina maana hiyo ya kushindwa ilikuwa inasikitisha sana ndio maana hukuiweka hapa. Au mabomu ya machozi yalikufanya upoteze data zako?
Michuzi
ReplyDeleteAcha Uyanga, Mbona mechi za simba hutudokezei kama za yanga kaka?.
Michuzi na wewe Simba sana eeh, maanake huwa hatusikii nyuzi negativu kuhusu Simba mpaka picha za safari zao mbalimbali mara algeria, Nice, au hizo kirima(ukarimu) ndio zinachangia??? acha hizo babuu, wewe blogisti babu kuwa nyutro si yale mambo ya sisi YANGA....!!
ReplyDelete