haidari mohamed 'zungu' ni kijana mwenye umri wa miaka 17 na mahili katika kupiga ngoma akiwa na bendi ya afrikali. yeye ni mmoja wa wasanii maalbino wakubwa bongo, mwingine akiwa ni keisha

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 11, 2006

    Baba michuzi vipi hiyo "kapsheni" hapo? ni MAHILI au MAHILI?

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 11, 2006

    MAHILI au MAHIRI?

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 11, 2006

    Jamani miaka 17 hii sio ajira kwa watoto. Huko Tz ILO haipo au?

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 11, 2006

    Grill umesema, si unajua tena, ajira kwa watoto inapohusisha kazi zinazoainishwa kuwa za uchafu uchafu na kutoka jasho yaani ulala hoi, mfano kuchuma kahawa, kilimo, uyaya na kadhalika. hii hapo juu si ajira kwa watoto kwa mtazamo wa ainisho la ajira kwa watoto..... nionavyo mimi!

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 11, 2006

    Oyaaa mbona unatukana kazi za wa2 ndugu? Ina maana wanamuziki ni wachafu au walala hoi? Wee hujaelimika kabisa

    ReplyDelete
  6. Ajira za watoto ni zile zenye madhara kwao aidha kiafya au kisaikolojia huyu hapa hapati madhara yoyote bali anaonyesha kipaji chake alichojaaliwa na maulana

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...