Home
Unlabelled
enzi hizo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Michuzi huu kweli sio ule mkutano wa mwisho wa Samora Machel 1986?
ReplyDeleteKwa kweli sijui kama Samora alisema atajiuzuru na kuwafuata Renamo msituni, ninachojua ni kwamba Samora na wafadhili wa RENAMO (South Africa) walifikia makubaliano ya kusimamisha vita na Samora akatia saini. Muda mfupi baada ya hapo ndiyo akaja hapo tunapomuona kwenye picha, kumbe walikuwa tayari wameshampangia mpango. Kwenye kiungo hicho hapo chini mnaweza kupata picha kamili jinsi ilivyokuwa.
ReplyDeletehttp://www.contrast.org/truth/html/samora_machel.html
Jamani taratibu eeh, kama huo ndio mkutano wa mwisho wa Samora, Augustino Neto inakuwaje awepo hapo? Au ndio Michuzi kasahau. Neo kafa miaka kibao kabla ya kifo cha Machel sasa kusema alikaa meza moja na hao Vingunge miaka ya '86 ni kudisitoti historia.
ReplyDeleteMungu wabariki wanaafrika hawa wakweli waliokwenda kuzimu
ReplyDeleteWadau, huyo wa kwanza ni José Eduardo dos Santos mrithi wa Agostino Neto.
ReplyDelete