wakurugenzi wa kitangoma wakiwa na waziri mdogo wa kazi, maendeleo ya vijana na michezo mudhihir m. mudhihir (kati) kwenye siku ya uzinduzi wa jarida hilo la muziki katika mgahawa wa hard rock ndani ya bilikanaz. toka kushoto baada yangu ni mansab jnr, masudi kipanya, juhyna ajmy, ruge mutahaba na justin kusaga

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. musee nimeona kazi yenu ina tisha, mara hii mpo hewani!! kweli tekenolojia ina tisha. Ongereni wote.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...