Home
Unlabelled
lediz frii
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Naona hao machangudoa wamekosa wateja, kwani wabunge wameshastukia ngoma.
ReplyDeleteRatio ni wanawake 10 kwa mwanamme 1, bunge hili nasikia machangu wamekosa soko kabisa
ReplyDeleteNdio vizuri maana wameacha wake zao nyumbani kazi kwenda kufanya mambo yasiyo na maana, upepo ulio waingia mwaka huu uzidi kukaa nao kwani itapunguza maambukizi std...
ReplyDeletemmmmm ni juzi tu walilalamika kumbi chache dom za starehe sijui hapo walikuwa hawajafika? Au michuzi aliwatawanya kwanza kabla hajapiga?
ReplyDeleteMbona wengine wana makoti kwenye disco?
ReplyDeleteladies free doesnot mean wanaume watupu guys!!!!!!!
ReplyDeletemhh mbona hii kali ladies free halafu hamna hata wanaume ama kweli hii kali wamebaki wanawake peke yao tehetehe !!!
ReplyDeletesamahani,hivi kila mwanamke ni changudoa ama?ama inawauma kuona wanawake nao wanajirusha sometimes sio kukaa jikoni masaa 24? tuwe wastaarabu,heshima kitu cha bure,unavyowatukana hawa wanamama,wenzio wanakutukania mama,dada,shangazi yako etc,kama ufanyavyo wewe..
ReplyDelete