wasanii kwa ubunifu bongo si wa kuimba jukwaani tu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. nice work...

    ReplyDelete
  2. hahaaah rangi kama za brazil flag da

    ReplyDelete
  3. Loo mwanaume anaevaa michupi hii hata havutii mirangi mikali mikali utazani kavaa shanga,mwanaume avae chupi white au grey au cream au nyeusi.

    ReplyDelete
  4. Ukiachana na hilo! Ingekuwa bora na rangi za bendera ya Tanzania. Ukiangalia wasanii wa nchi jirani kama Kenya jinsi wanavyoirusha bendera yao katika mavazi na kadhalika, wabongo lini wataamka. BADO WAMELALA!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  5. sasa jamani, mnataka bendera hadi kwenye chupi!?

    Na we unayemind rangi gani mwanaume kavaa, who cares. Ataiona nani unless mwanamke uko naye mnajivinjari. And if that is the case, atakuona jinsi ulivyo rijali... so it won't matter ni chupi rangi gani umevaa!!

    ...except maybe pink or purple.. that would be pushing it now hehe

    ReplyDelete
  6. Mikanda minene mno. Lazima wanaovaa wanapungukiwa nguvu za kiume na shahawa load.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...