Home
Unlabelled
mwaikimba
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Michuzi, hapo wanacheza kutafuta mshindi wa TATU. Mshindi wa kwanza na wa pili watapatikana kati ya Simba na Kagera.
ReplyDeleteasante sana bwana michuzi kwa kusikiliza maoni ya walio wengi na kwa sasa kuanza kutuwekea picha za socer kama hivi. tunategemea kuona mavituzi zaidi
ReplyDeleteMuhidin tatizo lako ni ushabiki, nimefuatilia blog hii kwa muda mrefu na nikagundua siku Yanga ikicheza na ikauona mwezi, break ya kwanza ukitoka neshno stedium ni kwenye mtandao kupost picha za yanga. Iweje fainali leo umekauka kama vile hujui kinachoendelea?"
ReplyDeletesasa jamani si blog yake nauhuru wake. Na kama ni shabiki wa Yanga mwache aturushe bwana!!!
ReplyDeleteYanga oyeeeee hehhe