jk leo amemteua rashid othman kuwa mkurugenzi mkuu wa idara ya usalama wa taifa kuanzia agosti 20 mwaka huu. othman anajaza nafasi inayoachwa wazi na cornel apson mwang'onda anayestaafu kazi agosti 21 mwaka huu kwa mujibu wa sheria. othman anaapishwa ikulu kesho saa tatu asubuhi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 134 mpaka sasa

  1. Hongera sana mzee Othaman. Tunakutakia mafanikio mema katika kuendeleza gurudumu la taifa.

    ReplyDelete
  2. huyu, kikwete inabidi aache udini. yeye kila mtu anayetua sikuhizi ni msilamu... kuanzia mabalozi mpaka kwenye vyombo vya usalama

    ReplyDelete
  3. Kila la kheri mzee, piga mzigo.

    ReplyDelete
  4. Naungana na anyony wa hapo juu aliyegusia suala la udini.Ni wazi kabisa Kikwete anaendekeza udini sasa.Lakini akae akijua kwamba udini wa namna hii una madhara makubwa sana kwa nchi.Kikwete nadhani sio mtu makini hata kidogo.

    ReplyDelete
  5. hongera mzee kaza but fanya kazi.Hii kazi inahusiana nini na dini na wewe anonymous nyie ndio wanafiq wenyewe kama anafit kuwepo nafasi hiyo ulitaka uwekwe wewe wivu tu ,

    ReplyDelete
  6. ni kweli kikwete amezidi udini,au ndio masharti aliyopewa na waarabu?nasikia anataka kujiunga na OIC,
    haya ngoja tuone maana kashikilia mpini.

    ReplyDelete
  7. Huyu JK anamind sana asalaam alaykum, ndio maana hatilii maanani sana elimu na mtoto wa Tanzania, sababu hakuna sana...........u know!

    ReplyDelete
  8. Ipo orodha kubwa tu ya waliochaguliwa(waislamu) ambao uwezo wao wa kiutendaji ni mdogo sana.Hili halina tena mjadala.Ni wazi kabisa.

    ReplyDelete
  9. Kama kweli kikwete ana nia ya kuingiza nchi kwenye IOC anaweza tena kiulaani maana wakristo ni wapole sana,huwa hawamind vitu vidogo,sasa ishu kama hii ingekuwa ndio iwakute waisilam wee hayo maandamano,mtumee.hata wapewe vyeo gani waislam wachache tu ndio wataendelea wengine wote ni ziro tu,angalia mfano mishule inayofelisha hapo bongo ,yote ni islamic seminary,ovyo.

    ReplyDelete
  10. Kwanza kabisa napinga kwa nguvu zangu zote ktk Tofauti za Kisiasa, maswala ya kidini na kikabila ndani ya nchi yetu.

    Pili, nina amini kwa nguvu zote ya kwamba Rais wa nchi amemchagua huyu ndugu kwa uwezo wake wa kazi kutokana na ushauri alio pewa na watu wake wa karibu (washauri wa mambo ya nchi na mambo ya usalama wa ndani na nje ya nchi).

    Tatu, Nawaomba kuwaeleza ya kwamba ni vigumu na haiwezekani kwa Tanzania kuweza kuingia ktk Organization of the Islamic Conference (OIC) kutokana ya kwamba msidhani kuwa nchi inaendeshwa na mtu mmoja tu ingawa ndio yeye ni Rais wa nchi bali pia kuna watu ambao wapo ktk kutekeleza ya kwamba nchi hii inaelekea ktk muelekeo ambao ni mzuri kwa manufaa ya Taifa na Wananchi ambao siku zote hawawezi kukubali haya kutokea maana yataweza kuigawa nchi na kusambaratisha Amani na Umoja wetu ulio dumu kwa siku nyingi.
    Kuna wakati fulani Serikali ya Zanzibar ilijiunga bila ya kuweza kuitambulisha Serikali ya Muungano na hapo ndio mlipo ona watu ninao sema na baada ya muda tu Serikali ya Zanzibar ilijitoa!!!

    Nne, Nawaomba kuwaeleza ya kwamba ktk maamuzi yote Rais wa nchi anayo yatoa sio kwamba yote ndio anatoa yeye bali yeye anacho fanya ni kupewa ushauri na options ktk kuteua au kutenda maswala yote ndani na nje ya nchi kwa manufaa ya Taifa na Wananchi na ushauri huo ni wa hali ya juu hivyo basi msimpe lawama zozote (everything is done by the book i.e according to the Necessary, Sufficient Conditions and Proper and available procedures).

    Mwisho, Nawaomba tuweze kutoa mawazo ya kidini, Tofauti za Kisiasa na za Kikabila na tuweze kuzidisha nguvu ktk Kufanya kazi kwa bidii na kuendeleza uchumi wa nchi yetu kwa manufaa ya Taifa na Wananchi wa sasa na Kizazi chetu kijacho. Amani na Upendo uwe daima kati yetu.

    Mungu Ibariki Tanzania na Watanzania, Mungu Ibarikia Africa.

    Nashukuru.
    Copyright 2006 MK.

    ReplyDelete
  11. mimi siogopi dini yake naogopa sura yake hayo ni mapaka ya risasi au tetekuwanga?

    ReplyDelete
  12. ...ANONY 2.30.....!!!Babaako amefika huko.



    Goooooooooooooooooooooooooo ooooooon Mr OT....Mtachonga Mkimaliza mtachoka. He works hard and deserves it to the fullest. Michuzi Please get another picture za huyu Mheshimiwa...tunaomfahamu tunajua ni nini cha maana anafanya na katoka wapi. please...if u need another pic i'll provide. Mr OT Please Chapa kazi kama kawa...Na nyie msio kuwa na la kuongea...dini doesn't tell how hard someone has worked...Mnamsahau kwamba Prime Minister ni Mkristo...it's all about the hard work no matter what religion you are. So what if the Muslims are the one's shinning...!!Stop Discriminating...if you don't know the Person SHUT YOUR MOUTH!!

    ReplyDelete
  13. hii mikritu mwaka huu itatukoma imezidi kula nguruwe

    ReplyDelete
  14. michuzi kama una picha nyingine au huyo OT amesema anayo nzuri tafadhali mzee kwa mzee wa usalama inatisha saaaana utadhani mabaka ya fimbo za madrasa.

    ReplyDelete
  15. anoy 3:03 usituzingue siku hizi kuna makeup

    ReplyDelete
  16. bado mkuu wa majeshi wizara zote muhimu tutashika sisi na idara zote muhimu tutashika sisi. JK oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee. Waislamu oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee. Mkafiri ziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.

    ReplyDelete
  17. anoy 2:56 kama "English" hujui andika kiarabu hicho ndicho mlichofundiswa madrasa. Check out your grammar or try to go to westernized school.

    ReplyDelete
  18. Ina onesha wazi jinsi uwezo na akili za kila binadamu utofautiana. Hakuna sababu za watu kuweza kutoa maoni na kashifa kibao cheo kapewa mwingine kelele kibao. Tuheshimiane tafadhali na kuheshimu dini zote na tusiitane majina tafadhali. Ata kama una elimu kiasi gani lakini ukiweza kutoa maoni machafu dhidi ya mwingine inaonesha ulipoteza muda wako kwenda shule.

    Ustaharabu ni wa bure tunaomba tuheshimiane.

    ReplyDelete
  19. Ni hivii nyie semeni sura, ooh dini lakini cha muhimu muheshimiwa ni mchapa kazi mzuri na muheshimiwa rais na washauri wake wameliona na kulithamini hilo, ingekuwa busara na sisi tulione hilo na kuangalia utendaji wa kazi rather than blablas....

    Congratulation Mr OT, KEEP GOING SON YOU REALLY DESERVE IT......

    ReplyDelete
  20. Anony 3.14...KAMA we mwanaume au mwanamke kweli...eka jina lako...badala ya kusema vya maana..grammar grammar...umeanza kujifunza second language juzi leo ushajua grammar yote...kama wewe mjuzi kweli njoo unijaribu!!Siongea na watu wasiokuwa na akili...

    Ot Oyeeeeeeeeeeeeeaaaaaaaaah...
    Mtasema...namtaaaaaaachooooooka...Kishapata...

    ReplyDelete
  21. Mabalozi asilimia tisini ni waislamu,na huyu jamaa pia...HUYU KIKWETE NDO MAANA KAMBARAGE ALIMKATAA 1995...NI MDINI MNO, ALIUNGA SANA MKONO SWALA LA ZANZIBAR KUWA MWANACHAMA WA OIC YEYE NA SALMIN...NA PIA NI MZINZI MNO...NA MTOTO WAKE YULE MIRAJI NI JAMBAZI NA TAPELI LA KUTUPA...KASABABISHA BABU SEYA KAFUNGWA KISA MARIAM MWANTAVU...HUYU JAMAA SIJUHI KWANINI WANANCHI WANAMPENDA...

    ReplyDelete
  22. wewe anony 3:41 siyo eka andika weka hata kiswahili hujui. Pumbaf.

    ReplyDelete
  23. teh teh teh tek kweli lugha zina wenyewe ukiinga utapasuka msamba

    ReplyDelete
  24. Acheni upumbavu, kama huwezi kuwa na ushahidi kwamba jamaa kapewa madaraka kwa sababu ya dini nyamaza kimya. Nani aliyekuwa akimjua huyu muungwana kabla ya uteuzi wake? kama hakuna nani anayeijua CV yake kusema kwamba amebebwa?
    (--)- Helsinki

    ReplyDelete
  25. Jamani Waislamu na Wakristu Hakuna haja ya kubishana mambo ya UDINI huyu bwana KIKWETE mmemchaguwa wenyewe walikuwepo wakristu na waislamu katika kinyang`anyiro cha uraisi. Sasa inabidi tu muheshimu uteuzi wake na kazi yake.Nyerere,Mwinyi, na Mkapa wameondoka sasa ni zamu ya huyu bwana mpeni ushirikiano na hao watu aliowachagua ambao wengi wao ni waislamu bado tu wata wawakilisha wakristu pia na kwa kuwa hakuna hata mwislamu mmoja aliye onesha udini basi tushirikiane nao wote ni watanzania, akija rais mkristu naye ana haki ya kufanya mabadiliko. Kwa hiyo ndugu zangu wakistu msileteane chuki za bure na ndugu zetu waislamu wote sisi ni watanzania tuachane na fikra za udini hatuta fika mbali. Hawa wote waliochaguliwa Waislamu ama Wakristu wapeni muda wafanye kazi kwanza wakileta udini basi muwakemee. Huyu bwana Othmani simjui utendaji kazi wake ninachojua ni mwislamu lakini pia najua ni Mtanzania tumpe muda afanye kazi kabla ya kuanza matusi. Anaweza kuwa mchapa kazi kuliko angechaguliwa mkristu.Mimi sioni sababu ya kuanza kulinganisha nani zaidi kati ya mwislamu na mkristu, atakaye chaguliwa yoyote atawakilisha watanzania na hicho ndicho cha msingi zaidi. SAMAHANINI KAMA NITAKUWA SIKUWARIDHISHA NA MAJIBU YANGU KWA WOTE MULIONITANGULIA KUCHANGIA MADA HII!

    ReplyDelete
  26. JK picks intelligence chief
    DAILY NEWS Reporter
    Daily News; Monday,August 21, 2006 @00:07

    PRESIDENT Jakaya Kikwete has appointed Mr Rashid Othman the Director of Intelligence services with effect from yesterday.
    Mr Othman takes over from Mr Cornel Apson, a long-serving civil servant, who formally retires today.
    Before his appointment, Mr Othman was Director of Administration and Personnel in the Directorate of Intelligence.
    According to a press statement by the Tanzania Information Services, MAELEZO, the president has also appointed Mr Ludovick Utouh the new Controller and Auditor General, effective last Saturday.
    Mr Utouh fills the position left vacant by Mr Thomas Kiama who has stepped down after reaching the mandatory retirement age.
    Mr Utouh was the executive director of the National Board of Accountants and Auditors (NBAA) since 1987.
    Both Mr Othman and Mr Utouh will be sworn-in this morning at the State House in Dar es Salaam.
    The president has also appointed Mr Anthony Itatiro State House Comptroller with immediate effect. Mr Itatiro replaces Mr Fanuel Kuzilwa who has retired

    ReplyDelete
  27. Baada ya post yangu hapo juu ya habari niliyoina daily news sijui kama kuna hoja ya udini itakuja tena.

    NAmpongeza JK kurudisha uongozi wa Intelligence kwa raia, Hii sio taasisi ya kijeshi ni ya kiraia na inapendezwa ikiongozwa na raia. Haya DAP wa zamani piga mzigo. Wahindi wanarudisha saana uchumi nyuma kwa rushwa hayo ni maeneo ya kuyaangalia uikishirikiana na Mzee Kamazima

    ReplyDelete
  28. sasa jamani si munaona wenyewe his excellence president Jakaya mrisho wa Kikwete has appointed two christians too so we shouldn`t complain. Tusiangalie tu pale tunapo soma majina ya kislamu tuangalie pia kuna majina ya kikristu. Mshauri wake mkubwa ni Lowassa ambaye si mwislamu. Tumwache huyu bwana achague watanzania anao ona watafanya naye kazi vizuri, ikumbukwe hata Kennedy rais wa marekani miaka ile alimchagua kaka yake katika position muhimu. Bush has appointed most of his friends to key positions so I don`t see why Mr. Kikwete should have done differently, so does Mkapa. let him work if he fails we will talk.

    ReplyDelete
  29. Binadamu ni watu wa tamaa sana, mfano mtu anakaa ubalozi akifika salender akaona foleni kidogo anahamia barabara ya umoja wa mataifa anazunguka magomeni mpaka kinondoni then arudi ubalozi anakoishi....Tamaaa hii ndiyo inayofanya tunaongea utumbo ooh flani muislamu flani mkritu,,,,nani ajuaye dini ya kweli na ya kwanza? huwenda kanisa la kakobe la mwenge ndio njia ya peponi...Its ME

    ReplyDelete
  30. Ni hivi watanzania tungejifunza kitu kimoja, kabla ya kurukia mambo na kuanza kutoa comments ambazo sikumoja zinaweza kutupela kubaya, ni vizuri tujue kuchunguza mambo kiundani na kuwa na facts za uhakika then tutoe comments zetu, especial on sensitive matters. Hatred is so strong and can kill.

    I dont want to believe that we are tired we with peace and tranquility we have, it might not be what we want but this is what we have and best of it other countries they are dying to have and admiring us for having it.

    So it is advisable to enjoy and handle it with care while we are working for the best of it.

    ReplyDelete
  31. Ukiendelea kuzungumzia udini wakati huu/miaka hii wewe basi huwezi kutofautisha na mwenda wazimu. Watu wenye fikra za udini ni wale walikosa mawazo.

    Kama wewe unayejihita mktisto ungelikuwa mkristo wa kweli au muisilamu wa kweli basi maovu yangepungua sana duniani na dunia pangelikuwa mala pazuri pa kuishi.Ni wangapi wanakura rushwa pamoja na kwamba dini zinakataza.

    Kwa kukosa mawazo na kutojua kwamba asilimia zaidi ya 80 ya wanadamu hawana dini ndio maana tunaendelea kujadili suala la udini karne hizi. jadili mambo ya maana ya kuwatoa katika umasiki. Hivi hamujawahi kusikia baadhi ya nchi za ulaya ukiwaambia mambo hayo ni sawa na kuwaletea umasiki?

    Naomba niishie hapo nisijeonekana na mimi ni kichaa.

    ReplyDelete
  32. jhasywehjhsbdhfsd

    ReplyDelete
  33. This comment has been removed by a blog administrator.

    ReplyDelete
  34. Kweli kabisa kum*nina zao hao was*ng* wanaoleta mambo ya dini kazi kuf*rw* tu.

    ReplyDelete
  35. Hivi nyinyi...badala kuangalia what benefit Mr Othman can provide us...mnaangalia dini...kwani kawaambia answari sunna...ama ni practising Muslim...hata kama anapractise kazi ni kazi...udini hauingilii kazi. I for one congratulate Mr Othman for his hard work throughout his life and I am pleased that they saw potential in him and he will deliver. To all the ones that are talking blah blah blah blah blah..endeleeni lakini I for one believe in this man and he will shut your mouths with action!!

    'For action speaks louder than words.'Tulizeni boli muone

    ReplyDelete
  36. Hebu tuache jamani mambo ya udini.Tusipokuwa makini sumu hii itakuja kutuangamiza.Dini zote hizi tumeletewa tu,hatujui mwanzo wake zaidi ya ule wanaotuelezea waanzilishi wake.Hivi wewe hapo ulipo dini imekusaidia vipi katika mlo wa jana?

    Yapo mambo ya msingi ambayo tunaweza zungumzia.Ukimwi,maisha,kazi,maendeleo yetu nk.

    NB: Nimeona blog mpya ya mapenzi kutokea huko Marekani.Nadhani wakati mwingine ni bora tukaongelea hayo kuliko kulishana chuki. Itembeleeni mkiweza www.mapenzi.blogspot.com

    ReplyDelete
  37. Eboo! Ni wazi kabisa huyu Mswahili kila cheo nyeti anawapa Waislamu!! Idadi kubwa ya Wananchi walio na elimu ya juu na wenye uzoefu wa kazi serikalini ni Wakristo. Hilo ni wazi na inathibitishwa na wahitimu wa UDSM ambapo miaka mingi 80% ni Wakristu, na haswa watu wa kizazi cha huyo OT. Sasa kama kweli huyu Mswahili angekuwa STRICTLY akiangalia uwezo na kisomo wakati wa uteuzi basi sidhani angemchagua hata Muislamu mmoja. Kwa ndugu zangu Wakrsito nasema dawa ni KUTOMPA KURA ZETU KIKWETE MWAKA 2010!!

    ReplyDelete
  38. Hivi kweli Watnganyika mlikuwa mnategemea kitu gani kumpa urais Mswahili wa Kibaha? He has consistently appointed a Muslim in almost every high profile position in today's government: from Wabunge, govt. ministers, top bureaucratic executives to diplomats. He has all along been cultivating a hidden agenda and we thus we can now see his true face!

    ReplyDelete
  39. this is all bullshit wakati wa mwalimu nani aliweza sema kitu hatuna udini na tubakie hivyo hivyo maana kwanza naona kuna vijana wengi wanazungumza utumbo tena sio wa ng'ombe bali wa nguchilo ntawapa muktasari tuu enzi ya Mwalimu Nyerere nani alikuwa nani Mkuu wa JWTZ (David Musuguri) kutoka Mara ,Gavana wa benki kuu (Charles Nyirabu), Jaji Mkuu (Francis Nyalali), Mwanasheria Mkuu (Joseph Warioba),Waziri Ofisi ya Rais (Kazi Maalum) Joseph Butiku ,Timoth Apiyo (Katibu mkuu Wa Rais) hao ni baadhi tuu ya jamaa zake wa karibu wenye kukumbuka historia watakubaliana na mimi tena mara mbili mkuu wa majeshi ametokea mkoa ambao rais kazaliwa nikimaanisha (Kiaro na Musuguri) nani alisema fyoko leo kuna Mzaramo wa Chalinze watu wanachonga kila shetani na mbuyu wake bwana ikifika zamu ya wahaya mtaona nao wanafanya nini

    ReplyDelete
  40. SIDHANI KAMA DINI INA LOLOTE LA MAANA KWENYE UTENDAJI WA MTU. MIMI KINACHONIPA TABU NI WATU KAMA AKINA MASHA, DIALO NA HUYO WAZIRI WA VIWANDA SIJUI MNAMWIITA NANI JINA LAKE LIMENITOKA. HAO WOTE SIO WAISLAMU NA WANACHANGIA KWA KIASI KIKUBWA KUINGUZA TZ. ACHANA NA DINI ANGALIA QUALIFICATION YA MTU NA UTENDAJI WAKE.

    ReplyDelete
  41. Unajua niliiona hii post alivyoweka bwana Michuzi na comments zilizotolewa mwanzo lakini nikapuuza kwa maana nilijua ni mpumbavu mmoja tu anabwata (ambaye hakuwa hata na confidence ya kuweka jina lake kama kawaida ya anony wanaoletaga fujo humu ndani).

    Haya masuala ya kupenda kuendekeza ubaguzi uwe wa kidini, kikabili au wa namna nyingien utatufikisha pabaya. Na siku zote ni watu wachache wasiofikiria ndio ambao huwa wanaleta matatizo katika jamii nzima.

    Kabla hujaanza kubwata, fuatilia kwanza Othman ni nani na kwanini aliteuliwa. Mheshimiwa huyu kama tulivyoona katika habari hapo juu alikuwa Mkurugenzi wa Utawala huko usalama wa taifa, na tena fuatilia huyu bwana amekuwepo ktk idara hii kwa muda kidogo na ana uzoefu. Sasa we ulitaka rais amuache pamoja na sifa zake zote hizo akamteue baba yako msukukuma mikoteni Manzese kwa sababu tu ni mkristu?
    Isitoshe kuna watu wengi tu walioteuliwa wakristu, mfano mdogo tu ni baraza la mawaziri hili hapa:
    http://www.tanzania.go.tz/government/pictures/cabinet.htm
    nimehesabu (ukitoa waziri mkuu ambaye ni mkristu) wapo takribani mawaziri 15 wakristu, 13 waislamu na ofcourse mzee wetu Kingunge ni aethist (hana dini). Sasa hapo utasemaje raisi ana udini?
    Na zaidi wengi wa mawaziri hao waislamu (na hata wakristu pia) ni watu ambao wamo serikalini siku nyingi na wengi wao walikuwa mawaziri chini ya Mkapa. Basi akma ni hivyo Mkapa anaendekeza uislamu naye.

    Watu wametoa kauni nyingi za uchochezi ambazo hazina uthibithso. Kama unajiamaini na unachoongea toa chanzo chako cha habari na weka jina lako pia. Mara ohh Kikwete anataka aiingize TZ OIC. Mara waislamu wengi wamechaguliwa hawana qualifications. Ni nani wataje ili watu wakubaliane au wapingane na hoja yako.

    Nimeona wengine wametoka katika hoja wanaanza hata kukashifu dini nyingine, kama si kutafuta balaa ni nini huko? Au tushasahau juzi juzi tu tulitaka tuyazue makubwa Al-Haji mzee Ruksa akatuusia kuwa TZ ni nchi ya kidemokrasia na kila mtu ana uhuru sawa na haki sawa?

    Kipidni cha Nyerere alisemwa anapendelea wakristu sababu ye mkristu.. kipindi cha mwinyi akatajitahidi kuwa deplomatic waislamu wenzake pia wakamshutumu juu ya same thing. Kipindi cha Mkapa hazikuibuka ishu za udini sana; tukahope yamekwisha na watanzania tunaungana kama wamoja sasa. Haya naona mnataka kuyarudisha tena.
    Na kama alivyouliza ndungu yangu hapo juu... je kwa wanaoabudu mizimi ya mababu, au kwa wengine kama sisi tunaomuabudu Mola kwa njia yetu wenyewe na hatufungamani na any main-stream religion?

    Hebu kuweni na akili na toeni hoja za maana sio hoja za uchochezi, za watu wa vijiweni waliokosa kazi na wanaoshinda wakilumbana.

    ~mimi mtanzania mwenzenu
    Nalitolela, P. S.

    -Mungu ibariki Tanzania; Mungu ibariki Afrika.

    ReplyDelete
  42. Nawapongezeni Peter na Jangala mimi ni Msami nasema tena udini ni mambo ya zamani mbona siku hizi Mashehe wengi wana shinda kwenye kiti moto na hakuna maneneno? mimi naona mambo ya udini yamepitwa na wakati ndugu zangu wengi tena hata huyu bwana mchaguliwa ni wataalamu wa kiti moto sasa sioni haja ya kupishana. Wote ni wamoja, kiti moto oyeeee, oyeeeee!!!!

    ReplyDelete
  43. Peter,
    Umeongea mambo ya muhimu sana na ya msingi. Mimi nashindwa kuamini kwamba rais ana udini kwa sababu naamini rais wetu anapenda kutawala nchi yenye amani. Lakini kama nilivyowahi kusema kwenye forum yetu you can not stop living human being from thinking. Someone with dead mind is the dead person. Just like Sharon is dead. Watu wanaongelea udini huwezi kuwaambia angalieni stats za baraza la mawaziri na wakanyamaza, mwingine anaweza kusema angalia wizara muhimu zote zimeshikwa na watu wa dini gani sijui utakuwa na jibu gani, hata ukija na hili jibu mtu atakuja na issue nyingine tena. Mtu anaweza hata kukuambia kuwa kwa nini rais ameoa mwislamu mwenzake, it is that easy. Kama taifa lazima tuwe na utaratibu wa kisiasa ambao utawafanya watu wasifikirie udini. Kwanini watu hawasemi Lowassa ni mkristo? Kwa nini watu hawasemi JK amechaguliwa kwa kuwa ni mwislamu? Je, unaungana na mawazo ya Getrude Mongela? Karibu kwenye forum hetu upate kuchangia mawazo na watu wanaopenda maendeleo.

    http://jamboforums.jamboo.co.tz/

    http://www.tanzaniaeconomicforum.com/

    ReplyDelete
  44. Kaka ama dada hapo juu yangu nadhani wakkristo wengi wako paranoid including myself kwa sababu kubwa mbili mnajilipua sana kila kukicha mtu kavaa belt kaenda kujilipua nadhani hii wasiwasi tosha, pili kila penye machafuko mengi duniani angalia population ni watu wa aina gani na dini gani? ugaidi duniani unaendeshwa na watu wa dini gani? kumbe hawa jamaa wana haki ya kulalamika, wanapenda amani. Mimi binafsi naogopa sana maana utagombana vipi na mtu asiye ogopa kufa? anajiripua pasipo sababu muhimu. Sisemi wote waislamu ni wakolofi lakini majority wana salsafa mbaya ya ugaidi na ufirauni!

    ReplyDelete
  45. Sasa Bujaga...what's that got's to do with Mr Othman??!!If working...anachapa kinamna yaani...so stop discriminating y'all!!na ushamuona Muislamu wa tz akajiripua...kuweni na akili..na tuheshimiane...

    ReplyDelete
  46. Nao soo watajilipua ndani ya mascandnavia kisa yana wazungu watalii labda wanaenda zao Arusha au Mikumi,nasema hivi sababu from know where tuliona mwezi uliopita eti waislam wetu wa bongo wanaandamana kuisaport hezbolah,kumbuka pia waliyelipua ubalozi dar mmoja alikuwa mzanzibar,lazima wakristo tuogope ati,na kuhoji mtu anaechaguliwa sehemu nyeti sio kuibua watu kutoka mvunguni kama JK alivyomuibua huyu bwana.mimi sina wasi na muislam akiwa educated vizuri mfano DR Shein na wengine,ila miislam mingine mwenzangu tunaoogopa.

    ReplyDelete
  47. Michuzi nakuomba uweze kutoa hii picha. Watu wamezidi sana kutoa maoni yasiyo na msingi. Mimi ni mkristo na nina muunga mkono rais wa nchi kwa kila kitu lakini kutokana na maoni ya watu machache ya chuki Naomba toa hii habari inatupeleka kubaya sasa.

    Vyombo vya habari vikitumika vibaya vinapeleka chuki ndani ya jamii na hii imetokea kwa majirani zetu wa Burundi, Rwanda, na south afrika ambapo watu walikuwa wanauana wao kwa wao kwa chuki ilivyo sambazwa na vyombo hivi vya habari hivyo basi kama wewe ni muandishi wa habari nakuomba toa hii picha ama sivyo na wewe ipo siku watakuita The Hague au Arusha kujibu mashitaka ya uchochezi ambao ni wazi hausiki nao bali ni kutokana jinsi watu walivyo ichukulia habari uliyo itoa ktk blogu yako. Nakusihii baba itoe hii picha, nina sikia uchungu sana kuona kizazi chetu kinavyo potea ktk chuki zisizo na maana yoyote.

    Nina uhakika mmoja kati ya viongozi wa nji hii wanaona hii blogu na kuelezana.

    ReplyDelete
  48. Duh! haya bwana michuzi kazi kwako, kama wewe ni muislamu basi ujjiue kuwa kuna watu wanaingia kwenye blogu yako lakini hawakupendi wala nini, kwa sababu wewe ni muislamu na kuna siku eti utawalipua.
    Duh! bora mie nisiyeabudu muhamedi wala yesus.

    ReplyDelete
  49. Kwanza, Hivi nyinyi mnaosema kuwa 80% ya wasomi ni wakiristo, hivi mnajua shule ya kwanza Tanzania ilijengwa wapi? na nani walikuwa wasomi wa kwanza?

    Pili, Kama usomi ndo uongozi, mbona Mkapa na Sumaye na usomi wao, lakini bado tuu wameingia mikataba ya "Karl Peters" ya uchimbaji madini?

    Tatu, Chama cha kwanza cha Siasa Tanzania kilianzishwa na watu wa dini gani?

    Nne, Uchaguzi ujao tutamchagua muheshimiwa Sumaye awe rais wetu, kwa sababu yeye ni msomi na pia ni mkiristo mwenzetu.

    ReplyDelete
  50. michuzi ile blog pinzania haipo tena kwa jinsi ulivyonifurahisha kuwaachia watu watoe mawazo yao.

    ReplyDelete
  51. I can't believe what I'm reading here! This religion crap debate has got to stop. As a country we came very far for Mkristo & Mwislamu bullshit to come between us people!!
    I think this guy ana uwezo wa kufanya kazi alichochaguliwa, JK didn't get him from the streets na kumpachika kuwa Mkuu wa Usalama.
    Let's leave DINI aside and give JK a chance to do his job. We need to
    come together as a group of people and work together to be successful as a Nation.

    ReplyDelete
  52. Ile kwamba shule ya kwanza ilikuwa madrasa na wasomi wa kwanza walikuwa Waislamu waliohitimu katika fani ya kukaririri Quran haimaanishi kuwa tuwape Waislamu vyeo nyeti licha ya wao kuwa nyuma na duni katika elimu ya kisasa.

    Na kwa Peter hapo juu: kwanza elewa kwa kuna tofauti kati ya vyeo vya uwaziri: Waziri wa Fedha si sawa na Waziri wa Michezo, au siyo? Pili, vyeo nyeti serikalini siyo uwaziri tu, kuna ubalozi, u-RC, ukuu wa Majeshi (Magereza, Polisi, JWTZ), nk, ambapo vyeneyewe navyo vinatofautiana kulingana na sehemu na majukumu (mfano; Balozi wa Tanzania UK ni relatively more coveted position compared tu Balozi wa Tanzania Msumbiji, na vivyo hivyo kwa RCs etc.

    Vinginevyo narudia tena kwamba takwimu za UDSM na vyuo vinginevyo vya elimu ya juu Tanzania hazidanganyi: Watanganyika walio na kisomo cha juu, uwezo mkubwa wa kazi na uzoefu na wenye rika sawa na wateuzi walio wengi kwenye serikali ya huyu Mswahili kutoka Kibaha NI WAKRISTO. Ni wazi anavyofanya Kikwete ni kuweka dini kama kigezo cha uteuzi kwenye na vyeo nyeti na kuwapendelea Waislamu.

    Kama alivyosema mchangiaji mmoja hapo juu; huyu Mswahili si makini hata kidogo na anajenga mgawano wa kidini katika jamii.

    ReplyDelete
  53. Na kwa wale wanaodai eti uteuzi uemfanywa kutokana na uwezo, swali langu ni: jee mnaweza kutupatia CV au Resumé za candidates wote kwenye nafasi hii ili tu-evaluate kama hii ni kweli? Huwezi kuangalia qualifications na experience za mtu mmoja tu halafu ukadai kwamba anafaa kwa kazi.

    ReplyDelete
  54. I can conclude as following,africans wake up,Tanzanias more than 80% ni watu tusio kuwa na DINI,ni unafiki tu,hapa kuna KULA,KULALA,KUJISAIDIA(KKK)wanataka kupotezi UBORA wa BLOG.We are in extreme poverty(economy).Tufanye kazi tuache UTUMWA wa DINI,nchi ya nne kwa umasikini duniani.Ukimwi ndio usiseme mapadri na mashehe WANALAWITI.Watoa MADA wengi hapa hakuna BIKIRA hakuna NDOA.WIZI,RUSHWA,UONGO ni jambo la kawaida.DINI NI MAJINA? au SEMINARIES za kikristu,na kisilam?.CHINA hakuna majina ya kislam wala kikristu.MWENYEZI MUNGU ANAZIDI KUWABARIKI.WE HAVE ONLY PEACE,mnataka kupoteza,I FEEL ASHAME TO BE AN AFRICAN(TANZANIAN);

    ReplyDelete
  55. Sumaye ana kisomo wapi mchovu tu

    ReplyDelete
  56. ni mara mia ya sumaye kuliko rukhsa

    ReplyDelete
  57. jamani mbona tanzania bara kunaamani kuliko tanzania visiwani? lazima tu kuna tatizo miongoni mwetu na dini yetu hawa jamaa wenzetu wametulia kiujumla kuliko sisi.lazima tukubali hilo haliongopi

    ReplyDelete
  58. Vilevile kwa Peter hapo juu: nimesahau kutaja jinsi Mswahili alivyowachagua Waislamu kushika nafasi zote za juu za CCM. Wengine wametoa maoni eti kati ya ma-DC alioyoteua, Wakristo ni wengi zaidi. Nauliza: jee kuna tofauti kati ya cheo cha DC na kile cha katibu mkuu wa CCM? Hebu tafakari kuhusu hilo.

    ReplyDelete
  59. Anony wa 10:49 ndio hao wenye malaria inawasumbua. Anayemjua mpeleke apate dawa.

    ReplyDelete
  60. Anony wa 11:14 hapo juu: toa hoja za msingi na siyo mashambulizi ya binafsi.

    ReplyDelete
  61. Unashambuliwa na nani au unaogopä kivuli chako. Hoja gani au utumbo unatoa ndo maana wanakwambia una malazi fulani fulani.

    ReplyDelete
  62. Kuita hoja zangu "utumbo" na kudai eti "nina malazi" havisaidii lolote kutufahamisha kama hoja hizo zina ukweli au la. Pinga hoja nilizotoa kwa kuzichambua na kutoa ushahidi unaothibitika.

    ReplyDelete
  63. Pole sana mwalimu nyerere alipotoa wito wa ngumbaro(kufuta ujinga ulikuwa wapi?)?????

    ReplyDelete
  64. Chambua hoja siyo mtoa hoja.

    ReplyDelete
  65. Kwani umeambiwa kuna karanga hapa?

    ReplyDelete
  66. Ebwana mbona watu mnachekesha ? hata kama rais akichagua waislamu wote au wakristo wote bado mimi maisha yangu ni mabovu.wote wanaoteuliwa wanaangalia familia zao,hawapeleki fedha makanisani au misikitini kwa ajiri ya waumini wenzao,sasa mimi niumie na nini /Labda nisikitike kwa kutomuona dingi kwenye list..

    ReplyDelete
  67. Bado ugonjwa unakusumbua? Umeambiwa nenda kapate dawa!!!!!!!!! Unajifanya kupata akili kidogo au hujui kuwa tunajua ngumbalo hujapitia?

    ReplyDelete
  68. Mimi ni Mkristo,na naelweka kuna pengo katika nafasi za uongozi kati ya wakristo na waislam.Kuziba pengo hilo sio dhambi as long as zinatumuka njia sahihi.Ni sawa na affirmative action...na tunajua kuwa hata USA affirmative action hulaumiwa kuwa inawanyima haki the so-called "walio wengi."Othman,namfahamu na nadhani ana-deserve what he got.By the way,aliyem-recommend (Mzee Apson) ni Mkristo,na JK ameridhia tu (japo pia angeweza kukataa kama alikuwa na mtu wake).kWA HIYO KAMA KULAUMU ALAUMIWE ALIYEMPENDEKEZA (AMBAYE NI KRISTO) NA SIO ALIYERIDHIA (JK,ambaye ni mwislam).

    ReplyDelete
  69. Yuo guy stop ujinga wa maneno ya hoja za wagagagigi koko na vijiji vya songa mbele kwa bwana matata.

    ReplyDelete
  70. hongera mzee othman, Rais amekuamini kuwa unaweza kazi na hivyo mshukuru mola na pia kazi ngumu inakusubiri. Mungu awe nawe katika majukumu hayo.

    ReplyDelete
  71. ndugu zangu waislamu naomba msivae tu belti na kujilipua kwa sababu ya ubishano wa vyeo. Chapeni kazi na waelimisheni hao wanaopenda kujilipua na kusababisha wengine tuogope hata kupanda ndege zamani dunia ilikuwa poa mpaka mlipo anzisha haka kamchezo ka kujitoa muhanga

    ReplyDelete
  72. Good choice

    Tembelea Radio Butiama
    http://butiama.podomatic.com

    ReplyDelete
  73. Haya, kwa wale waliokuwa wanadai kwamba huyu Othman ameteuliwa kutokana na uwezo: toeni CV yake ili tuichambue na kuilinganisha na CV ya Augustine Mahiga ambaye ndiye pekee waliyeshindana naye kwenye nafasi hii nyeti. Sidhani kama Othman angeweza kumshinda Mahiga kwa usomi na uzoefu wa kazi.

    Hapa chini ni link ya CV ya Dkt. Mahiga. Amua mwenyewe.

    http://www.tanzania-un.org/dynamicdata/data/docs/cvmahiga%20short%20form.pdf#search=%22Mahiga%22

    ReplyDelete
  74. Ndugu zangu Watanzania mbona tunataka kuleta mambo yasiyo ya msingi kwenye nchi yetu ambayo ina sifa ya kuwa kisiwa cha amani. Leo tunaanza na udini, kesho itakuwa ukabila na si ajabu tukajaishia na ukoo.

    Katika uongozi kinachoangaliwa ni qualifications, kama huyu jamaa alishapata kuwa mmoja ya wakurugenzi ndani Usalama wa Taifa, nani zaidi ambaye angefaa?

    Kuna bwana mmoja naona anachagiza sana issue ya suicide bombers kuwa ni waislamu, ukumbuke hata Tamil Tigers was Sri Lanka nao wana sifa ya suicide bombers na wao si waislamu.

    Mbali na hayo je ni asilimia ngapi ya waislamu ni suicide bombers? Tusijenge chuki kwa ndugu zetu Waislamu kwa ajili ya watu wachache.

    Mungu Ibariki Tanzania

    ReplyDelete
  75. wewe mtu unayetupa cv ya mahiga, unajuaje kwamba alikuwapo kwenye kinyang'anyilo. kwa raisi kuna kinyang'anyilo kwani?

    anyway, nafikiri wewe ni mtu wa usalama pia unataka watu watumbuke ili uaribu amani hapa.

    kaa pembeni na hiyo cv yako,shetani.............tunakusoma!

    ReplyDelete
  76. Wewe anony anayetuletea CV ya Dkt mahiga, kwa taarifa hajachaguliwa kuwa director, cha kukuelekeza tanzania ina watu wengi sana wenye qualification za kutosha hata zaidi ya huyo unaye mtaja. Mimi nafikiri analysis imefanywa vya kurosha kabla ya kufikia uhamuzi.

    Lakini kama kuna mtu wewe unaona anafaa unaweza kumteua akuwakilishe binafsi. Hila kwa nafasi hii aliyeonekana anafaa tayari ameisha tangazwa.

    Inawezaka huyo akapewa nafasi nyingine kulingana na nafasi zitakavyo kuwa zinajitokeza. Nchi ni kubwa na kuna nafasi nyingi sana ambazo watu wanaweza kutumikia taifa letu ambalo bado ni changa. nafikiri inabidi huwe na subira. Kuna wengi sana wana uwezo hata wa kimataifa hila wote hawawezi kufanya kazi moja.

    ReplyDelete
  77. Jamani naona kasumba ya kidini imeshatuingia..lakini mnakumbuka babu zetu walikuwa na dini zao ambazo ndio zetu tuzifuate...tuna majina yetu mazuri..wengi wetu tumemsahau mtu kama "Mwanamalundi" kama tungeweza kupeleka wa'missionary'kutangaza sifa zake leo tusingekaa tukilemaa kwa jina la baba na la mwana...nani kakudanganya.??..

    ReplyDelete
  78. Anony hapo juu unasema eti "analysis imefanywa vya kutosha kabla ya kufikia uamuzi" - nadhani analysis hiyo unayodai pamoja na mambo mengineyo ilitilia maanani dini ya mteuliwa, au siyo?

    Halafu hapa tunaangalia wale watu ambao qualifications zao na uwezo wao vilipitiwa kwenye uteuzi wa nafasi ya Mkuu wa Usalama wa Taifa.. Hakuna anayedai kuwa Mahiga ndiye mwenye qualifications kubwa na uzoefu mwingi kupita Watanzania wote kwenye nyadhifa yoyote serikalini.

    Kwa hiyo hoja ya kuwapo kwa "watu wengi sana wenye qualifications za kutosha hata zaidi ya [Mahiga]" hakumaanishi watu hao wote waliomzidi Mahiga kielimu automatically walipaswa kufikiriwa wakati wa uteuzi wa hicho cheo au wadhifa.

    Vinginveyo kwa Anony wa 3:32: wewe endelea kusoma hadi saa 9 usiku na ukitaka unaweza hata kukariri na kuimba kwa kilugha ya mama yako hoja zoooote ninazoandika humu ndani. :)

    ReplyDelete
  79. Anony wa 4.07PM, umeambiwa hivi hiyo nafasi tungeijadili kama ingekuwa vacant mbona hukutoa pendekezo kabla ya kuchaguliwa hili tuangalie tutoe mapendekezo. Unaona mambo yameisha unakuja kulalama kwenye blog. nenda kariakoo kwa machinga ndio wanaweza kukusikiliza hapa ni watu wana elimu zao wanaweza kupima mtu na kuona unataka kutuambia nini.

    Kama unaona haki haikutendeka nenda kalale au fungua mashitaka mahakamani kuko wazi siyo huku kwenye blog. Umeambiwa kwa taarifa nafasi imejazwa tayari tafuta wazo lingine.

    Kama umeishiwa tafuta saiti nyingine ambazo zina watu wajinga ambao hawawezi kujua unafanya nini. Unaleta CV so what tukuonee huruma FYI hatuwezi kukupa nafasi hiyo.

    Wanablog hatuna uwezo huo nenda kariakoo waambie machinga waandamane labda wanaweza kukusaidia mzee. Pole sana. nakutakia safari njema katika yote.

    ReplyDelete
  80. Nyie pigeni kelele mkichoka mtanyamaza na wenzenu amesha pewa kazi na kwa kifupi amesha ingia kwa office na amesha anza kupiga mzigo...
    poleni sana

    ReplyDelete
  81. Kuna mgonjwa mmoja wa akili hapo ambaye amesema shule ya kwanza Tanzania ni madrasa. Hii imethibitisha utovu wake wa akili, na inawezekana huyu ni muhamiaji kutoka Rwanda au Burundi.
    Kwa taarifa yako shule ya kwanza ya serikali Tanzania ni Tanga School, imefunguliwa rasmi na wajerumani mwaka 1895. Kwa hiyo watu wa kwanza Tanzania kupata "formal education" ni Tanga. kima wee

    ReplyDelete
  82. wewee ondoa bangi zako hapa, shule zilikuwepo na babu yangu alimaliza hapo UDSM mwaka 1679 na kama unabisha nitakuletea mpaka vyeti unabisha?

    ReplyDelete
  83. theereeeeeeee 1697 babu!!!!!!!!!, alipigana na vasco dagama nini?

    ReplyDelete
  84. Eti wameelimika, wasenge nini? Mwafrika aliyeelimika hawezi kuwa mkiristo au muislamu.
    Anaweza kufuata dini hizo kwa maslahi tuu, na siyo kwa imani.

    ReplyDelete
  85. anon huu sasa ni uongo babu kamaliza 1667,inaelekea basi wewe kina carl peters umecheza nao kombolela wewe,siri ya kutozeeka nini?

    ReplyDelete
  86. acheni ujinga, mjadala umefungwa hapa maana naona kuna watu wameanza kubore sasa.

    wanaongea kama vidole ndiyo midomo na masikio yapo kwapani.

    mimi ninachoweza sema kwa kumalizia ni kwamba kiongozi amechaguliwa na kwamba hata tukilalama hii blogg sio authority.

    namuunga mkono msemaje wa hapo juu aliyesema kwamba nafasi hii haitangazwi kama vile maandazi dukani na kwamba pia yatupasa kuzingatia kwamba nafasi hii ni ya usiri mkubwa na kwamba ni nafasi ambayo wewe na mimi msomaji tunaweza kuijua endapo tu tunafanya kazi nao na sio iwe kwa jamii. mnachotakiwa ndugu wananchi ni kumjua kwamba yeye amechaguliwa.

    kazi yake si kukuletea maji au kukupa kiwanja kama waziri magufuli. kazi yake ni kukupa usingizi na kuendeleza amani iliyopo. kama ataharibu basi njia zipo za kuyasemea haya maneno.

    nashukuru kwa kujadili hoja na ujumbe utafika huko mnakotaka ufike.

    bwana mzozaji ukuumbi wako utufungie.

    KARIBU SANA..........

    ReplyDelete
  87. Bwana BUJAGA IZENGO WA KADAGO ukiwa kama ripota wea siku nyingi unaeheshimika kauli zako kwa kweli ni very dissapointing kwa mtu wa background yako, mtu kama wewe ulitakiwa uwe zaidi kama moderator wa mada kama hizi na siyo kuchukua upande mmoja wazi wazi kabisa na kukashifu upande mwingine. kwa kifupi tuligemea busara zaidi kutoka kwako na sio utumbo ule uliouweka, nadhani hata Michuzi, mwana habari mwenzio alikushangaa sema akaminya tu kiushkaji, noma babu!!

    ReplyDelete
  88. Suala siyo kwamba nafasi imeshajazwa au labda haikutangazwa kwenye magazeti. Suala hususan hapa ni kujadili vigezo vya uwezo na uzoefu wa kazi vilivyotumika katika uteuzi wa Mkuu wa Usalama wa Taifa na suala la ujumla ni jee Mswahili kutoka Kibaha ameamua kuweka dini kama kigezo katika uteuzi wa maafisa wote wa ngazi za juu kabisa katika serikali na chama?

    Hizo ndiyo ishu muhimu na zinaweza kujadiliwa pia bila kujali kama wewe binfasi utanufaika kwa namna yoyote na uteuzi huo au kama wewe huna dini.

    ReplyDelete
  89. Vinginevyo kuna wengine humu wameshindwa kutoa hoja za msingi na wamebakia kutoa vitisho, kuwashutumu watoa hoja wenzao na kupiga makelele mada ifungwe badala ya ku-analyse hoja. Tutajadiliana humu humu kwenye blogu hata ifike hoja 2000!!

    ReplyDelete
  90. Wewe anony wa 6:08PM kila mtu hapa anajua umeambiwa mjadala umefungwa, au kiswahili mgogoro nini? Unaweza kusaidiwa katika tafsiri. Byeeee tuonane siku nyingine kwenye mijadala mingine kama kuna aliyekutuma mwambie tu kuwa huko hawataki kabisa kusikia hayo uliyonituma.

    Bye mshikaji wangu unajua hata Mars kuna upendeleo si unona wamarekani tu na nchi zilizoendelea ndio wanakwenda? Kwa nini na sisi masikinio tusipelekwe?
    Nafikiri utakuwa umeelewa- shukrani na alamuziki.

    ReplyDelete
  91. Wote naona hamna kazi za msingi bali kukaa tuu na kuongea pumba watu wazima na akili zenu eti mnajadili mambo kama haya kwenye mtandao na wengine mmefikia hatua adi ya kutukanana dah!JK kamaliza kazi na hakuna yeyote hapo anaye weza badili kilichotokea so just go on na mambo mengine jamani,msipoteze muda kubishana.jamaa yuko kazin na hana mpango na maoni yenu wote humu,michuzi weka picha watu tuone mambo ya bongo.Wengine just shut your loud mouth n appreciate kazi,kama ni muislam au nani ni yeye wee inaKUMA nini?acheni mambo yasiyo na mpango jamaa afanyi kazi kwa waislam bali kwa watanzania wote!you heard!!peace n love bongo,last comment ndo hiyo.kaeni kimya!

    ReplyDelete
  92. Hakuna aliyekunyima kukaa kimya au aliyekulazimisha kuchangia, sawa? Wewe kama nani udai mjadala umefungwa? Kama umeshindwa kete kaa pembeni tuachie wanalume tulonge, sawa? Huu mjadala UNAENDELEA!!!

    ReplyDelete
  93. UMEISHA!KAA KIMYA

    ReplyDelete
  94. hii ni kutoka darhotwire, kuonyesha tu kwamba jamaa yupo tayari kutuhudumia watanzania wote, na sio group of people.
    Ushushushu, sasa mambo hadharani
    Shushushu Mkuu Rashid Othman ametinga madarakani kwa mkwara mzito kwa majambazi baada ya kuapishwa na Rais JK.

    Alikwenda kwa mdundo wa kale kawimbo ka wembe ule ule na kasi ni ile ya Rais JK katika kupambana na majambazi kurejesha amani ya Bongo.

    Aliomba ushirikiano wa mamlaka nyingine zinazohusika kama Jeshi la Polisi na Jeshi la wananchi na wananchi katika kukabiliana na matukio ya uhalifu nchini.

    Mkuu huyo wa Mashushushu anachukua nafasi ya Cornel Apson anayestaafu kwa mujibu wa sheria za Bongo.

    Kabla ya kupandishwa cheo cha Ukurugenzi Rashid Othman alikuwa Mkurugenzi wa Utawala na Utumishi Usalama wa Taifa.

    Ushushu ilikuwa na kazi ya siri na hata uteuzi wake ulikuwa siri bila kujua nani anafanya nini ila kwa kukisia hadi hivi karibuni mambo yameanza kuwekwa wazi.

    Naye Bw Othman ametonya kuwa atakuwa anakutana na mapaparazzi kuwatonya juu ya shughuli za kitengo hicho ili wananchi wajue mambo ya usalama wa nchi yao.

    Mwingine aliyeteuliwa na kuapishwa jana ni Ludocick Utouh anayekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali. Anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Thomas Kiama anayestaafu.

    Utouh alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu -NBAA.

    ReplyDelete
  95. Vyema kabisa! Hakuna anayempinga Mkuu mpya wa Usalama wa Taifa, Rashid Othman. More power to him and all the best in his new job. Yeye kateuliwa tu kwenye wadhifa.

    Mjadala hapa ni kama wateuzi wametumia haki kwenye uteuzi siyo huu tu bali uteuzi wa mabalozi na viongozi mbalimbali wa chama na serikali.

    ReplyDelete
  96. Oya maskio yako matakoni na macho yako yako makwapani nini?Mjadala umeisha pumbavu wee!semakitu kingine.

    ReplyDelete
  97. Mjadala hapa ni kama wateuzi wametumia haki kwenye uteuzi siyo huu tu bali uteuzi wa mabalozi na viongozi mbalimbali wa chama na serikali.

    ReplyDelete
  98. Kuna baadhi ya watu wameleta hoja za kudai kuwa waislamu wanajilipua ndio maana wakristu wanakuwa na wasi.

    -Je, tuwaite wakatoliki wote ni watu wanaopenda kuwadhalilisha wavulaan wadogo kijinsia maana zimetokea kesi kadhaa katika sehemu mbalimbali (ikiwamo Tanzania) za mapadri kufanya matendo haya ya aibu.

    -je tuwaite waprotestant kuwa ni wauaji sababu IRA (Irish Republic Army) huko belfast walikuwa wanawaua wakatoliki?

    Tuache mambo ya ubaguzi na kugeneralize. Sababu mtu fulani kafanya hivi basi watu wote wa dini yake, au wa dhehebu lake, au wa kabila lake, rangi (race), n.k. nao walaumiwe.
    Ndio inasikitisha kuona baadhi ya viongozi waislamu wanatumia vibaya mafundisho ya dini hiyo hasa vipengele kuhusu vitu kama jihad n.k. kuwapotosha watu.
    Kuna nukuu hii hapa ya Mtumbe Muhammad (SAW):
    "He who wrongs a Jew or a Christian will have me as his accuser on the Day of Judgment"

    Sasa sijui utadai vipi kuwa waislamu ni watu wa kujilipua?

    Ikumbukwe kuwa asilimia kubwa ya vitendo vya ugaidi (au upigania uhuru, kutegemeana na mtazamo wako) vinavyofanywa kwa kisingizio cha udini huwa vinafanywa na watu wenye asili ya mashariki ya kati. Na eneo hili migogoro yake ni ya karne kadhaa, ilikuwa inaibuka na kupoa; kuibuka na kupoa. Na hii ya mwisho ambayo tunaiona hadi leo ilianza baada ya vita vya 1 ambapo himaya ya Ottoman (iliyojumuisha Uturuki, sehemu za kusini mashariki mwa Ulaya na pia mashariki ya kati) ilianguka. Waingereza walichukua eneo la Palestina (sehemu ilipo taifa la leo la Israel) na baadae wakawahamishia wayahudi waliokuwa wakinyanyaswa Ulaya ktk eneo la palestina. Lakini hawakuacha mipaka inayoeleweka.
    Anyway sitaki kuwachosha na historia ndefu ambayo baadhi yenu mtakuwa mnaijua. Au kama hujui fanya research kuhusu historia ya Palestine na Israel, pia Zionism movement in Europe, n.k.

    Matukio haya yote na hasa Uingereza kujitoa Palestine bila mpangilio mwaka 46, na ukaliaji wa kimabavu wa Israel ktk maeneo ya Ukanda wa magharibi wa mto Jordan na Goland heights mwaka 67, wakipewa kichwa na Mataifa ya magharibi ndio baadhi ya mambo yaliyosukuma kufumuka upya kwa migogoro ya mashariki ya kati ktk karne hii mpya.
    Bila kusahau pia ukalizi wa kimabavu wa Marekani ktk baadhi ya sehemu takatifu za waislamu kama vile Saudi Arabia.

    Ndio maana hawa watu wameapa Jihad dhidi ya Marekani na wenzake; na wengine wanafall kama innocent victims.

    Sasa tukiachana na hayo, kwanini nimetoa historia hii fupi... nataka kukukumbusha kuwa so called islamic terrorists wa masharii ya kati beef yao inaeleweka.
    Hawa waislamu wengine wanaojitokeza sijui Phillipines, Spain na kwingineko na wagezaji tu. Wanadanganywa na wajanja wachache wanaotake advantage ya kasumba hii dhidi ya Uislamu na kupotosha Quran tukufu kwa manufaa yao binafsi.

    Huna haki ya kuwabagua ndugu zako waislamu wa Tanzania kwa makosa ambayo ni ya waislamu wa nchi nyingine.

    ReplyDelete
  99. MUSLIM ASILIMIA KUBWA AKILI HAMNA.NDO MAANA MAWAZO FINYU.

    ReplyDelete
  100. That man looks like u michuzi,are u related?

    ReplyDelete
  101. They are related in their responsiblities (you get what I mean???).

    ReplyDelete
  102. Peter, not only are you off topic but you sound way too patronizing with all that crap talk about "Ndugu zetu Waislamu", "Quran tukufu", and what appears to be a home-made version of Islamic history! If you are so outraged by all criticisms against Islam and Muslims, then why not convert and become a Muslim yourself? Heck, who knows you could end up being nominated for UBUNGE by Mswahili from Kibaha (as it seems nowadays being a Muslim can considerably improve someone's chances of being nominated for public office). Get a life bwana!!

    ReplyDelete
  103. Watu wakikataa kuletewa mbuzi kwenye gunia wanaitwa waswahili,wanapandikiziwa udini, nk. Lakini hao wanaoleta topic hizi ndio hao hao waliowashauri viongozi waliopita kwa kuwaletea mbuzi kwenye magunia matokeo yake ni kubadili nchi na kuwa gulio la watu wa ng´ambo.

    Mzee othmani waangalie kwa jicho safi sana hizo ngome sambaratisha haraka. Tunakutakia kila la kheri katika utendaji wako. Acha walalame tunachoitaji ni maendeleo. na Siyo watu waliobeba mizigo ya wavuta bangi nyuma yao.

    Ama kweli JK kiboko mpaka internet zimetikisika!!!!!

    ReplyDelete
  104. Kikwete ni mchapa kazi na ninafurahi kuona anafanya mabadiliko ktk idara nyingi za kiserikali. naombeni watanzania tuangalie jinsi gani tutaweza kusonga mbele na kuinua uchumi wetu. tujaribu kushikia bango mambo ya kuleta maendeleo kama ilivyofanyika ktk sekta ya madini mpaka sheria ya uwekezaji ikabadilishwa walau inatia moyo. mambo ya udini hayatatuletea maendeleo

    ReplyDelete
  105. kuna unazima humu. Sheria gani ya uwekezaji imebadilishwa. barrick wamebadilisha vipengele vya mkataba sio sheria. Hebu kama huna uhakika na kitu afadhali kukaa kimya. Mambo ya nchi si ya kuangalia ki unazi

    ReplyDelete
  106. Mmezidi ushabiki wa kijinga na wa Kiswahili!! Kila siku kujipendekeza: ooohh, "JK kiboko!", "JK babu kubwa!", "JK afanya vitu!" Kama ni kiboko mgawie tako!! Pambaaf!

    ReplyDelete
  107. we uliyekuwa na life unafanya kitu gani cha maana? And if I'm off-topic.. we toa hiyo topic iliyokuwa ktk line tuione.
    Huna hata confidence ya kusema we ni nani unapost anonymosuly.
    I admit explaining what i wanted to forced me to dritf off-course a bit, lakini nakupa basics ya the whole argument about islamic extrimism and terrorism. And I applogize for doing that.
    Siku zote mtu usipojua chanzo cha mambo ndio mwanzo wa kubwata bwata bila sababu.

    I am for peace and the unity of Tanzania for the developement of our country. If we are going to challenge anything, let's do it with reason and facts and not mere sensationalised, overhyped segragation initiated but a couple of ignorant separatists who ahev nothing better to do. I'm here to school you son as you seem to be in that group as well.

    Anyway tufunge huu mjadala sasa maana naona imekuwa ni forum sasa na sio blog tena. Ila nakushauri, get your facts and argue with reaons kwanza kabla hujadandia treni kwa mbele.

    ReplyDelete
  108. anonymosuly? au anonymously, mbona unaongea kimakonde wewe? Kuwa hapo Canada ndio kusema unajifanya haujui Kiswahili? Na kujifanya Kuongea Lugha ambazo kwako ngumu! Una la kusema kaa kimya.

    ReplyDelete
  109. hahaahah, samahani bwana nilichanganya na kiyao kidogo (sio kimakonde).

    Na la hasha, kiswahili kipo kama kawa ndugu yangu na huwa napendelea kuandika kwa kiswahili zaidi. Ila niliyekuwa namjibu naona alichonga kwa kiingereza nikadhania labda haelewi lugha. Au ulikuwa ni wewe?
    Ila 'eniwi' ndugu yangu ilikuwa ni mchapio kidogo wa kutaipu kidogo nikaandika 'u' kabla ya 's'.

    ReplyDelete
  110. ume eleweka sasa. Tuongeeni Kiswahili kudumisha lugha hii sio kudumisha vya wenzetu.

    ReplyDelete
  111. Tumepoteza karibu BILLION 1000,kwenye sector ya MADINI peke yake katika kipindi cha miaka 5 iliyopita, UCHUMI unadidimia,MBONA KUNA MAMBO YA MSINGI YAKUYAJADILI, MKAPA, MWINYI, wametupeleka pabaya.

    ReplyDelete
  112. We Peter, usituzingue na hivyo vihistoria vyako uchwara ulvyotafsiri kutoka Wikipedia, sawa? Halafu mjadala haufungwi na topiki ni kama nilivyosema pale juu (najinukuu):

    Mjadala hapa ni kama wateuzi wametumia haki kwenye uteuzi siyo huu tu bali uteuzi wa mabalozi na viongozi mbalimbali wa chama na serikali.

    And like I said: if you have hidden ambitions for Ubunge/ Principal Secretary or whatever prestigious position in the bureaucracy within the next 10 years, then you better pay attention to the writing on wall: Convert to Islam!!

    ReplyDelete
  113. sasa ndugu yangu, historia ni historia iwe nimetafsiri toka wiki lakini bado si historia sahihi ama? Inabadili nini ukweli wa nikisemacho.

    (halafu by ze wei, wiki ni source ya uhakika kwa habari mbali mbali na hata maprofessor wa chuo wanaikubali ma wamaemcourge watu kuitumia kama refference ktk research zao - muulize Ndesanjo umuhimu wa wiki akuelezee)

    Pili kama unakosa point, toa point. Sio mnaendeleza hoja za ubaguzi na kuchocheana na kurudia tu hoja yako isiyo ya msingi ya kuwa nibadili dini, n.k.

    Unaonekana kabisa huna cha maana cha kuongea, ni politiki tu.

    ReplyDelete
  114. Usimuungize Ndesanjo katika kujitetea kwako toa point za maana na sio mambo ya kitoto ya muulize Ndesanjo ni sawa sawa na mtoto akisema muulize Baba kama sio kweli.teteh

    Unategemea watu sio? Wikipedia kila mtu ana andika habari yake na inawezekana kuna wakati ikawa sio sahii 100% hivyo mzee tegemea sorce nyinginezo.

    ReplyDelete
  115. Kwanza Muulize Ndesanjo ndio nani, who cares about him. Waende zao na stori zao feki. Kujifanya kuwe nje ndio kujua kila kitu.

    ReplyDelete
  116. Kwanza mshamba tu eti kapiga picha karibu na Kompyuta, Yale yale mambo ya kilombo kupiga picha karibu na TV au kushika Simu. Hacha Ushamba wewe. Kaa kimya kama hujui kitu.

    ReplyDelete
  117. Kwanza namshukuru anony wa 6:34 PM kwa kukuamsha kutoka ndoto zako za "Qurani tukufu", "ndugu zetu Waislamu", "peace and unity of Tanzania" na utumbo kama huo.

    Sasa ukirudia maoni yako ya jana pale juu kabisa ambapo ulidiriki kufanya research ya idadi ya Mawaziri Waislamu na Wakristu, chini kidogo utakuta nimekujibu kama Anony wa 7:41 PM. Hebu pitia halafu ujibu hoja.

    ReplyDelete
  118. haya bwana. Naona wengine mmekalia ubishi bwana. Na wengine badala ya kuingiza hoja za msingi ni dharau na kebeli tu, na tatizo lenu mnapost hata hamuweki majina yenu.
    Kama una hoja ya msingi ya kukosoa nilichosema iweke sio mambo ya kubisha tu.

    Basi naomba tukubali kutokubaliana ktk suala hili, Isiwe taabu ndugu zangu

    ReplyDelete
  119. Ushasoma jibu niloandika? Hii hoja hapo juu yako naona mbona haigusii masuala niliyozungumzia. Halafu mimi siyo huyo aliyekukandia kuhusu picha kwenye blogu yako.

    ReplyDelete
  120. anony wa juu.. nashukuru kwa hoja yako na nimeisoma. Na nilipoona hoja yako ya 1 nilijua sio we uliyeandika kuhusu picha na nini.. watu kama hao ni wa kuwaignore.. ukijibu unaupa uchemfu wao hadhi.

    Anyway, kuhusu comment yako, niliimiss mwanzo, nimeiona sasa. You make a valid point.. ingawa sikubaliani nawe kuwa kutokana suala hilo 100% unaweza kuconclude udini. Naomba unitupie mistari mi2, mi3 ktk peternali@hotmail.com.. and then tunaweza kuendelea na discussion kama waungwana.. au kama upo ktk forum sehemu tujadiliane huko, maana naona huu mjadalo kwa hapa umezidi nafasi yake sasa

    ReplyDelete
  121. Ohoo... unataka niingie mtegoni mjomba? Hii ishu ni very sensitive na inamhusu THEAD HONCHO OF USALAMA WA TAIFA himself. Watu humu ndani washanitishia kuwa eti "wananisoma" kwa makini. Mjadala uendelee humu humu bro.

    ReplyDelete
  122. masahihisho kidogo: ni HEAD HONCHO na siyo THEAD

    ReplyDelete
  123. Peter utapoteza muda wako kubishana na watu ambao watabisha chochote utakachokisema hata kama wanakubaliana na wewe. Wao wako hapa kubisha kila kitu. Sasa cha busara ni kuwaacha wabwabwaje wanavyoweza halafu wakichoka watalala tu. Kuna watu Vichwa vyao vigumu sana.

    ReplyDelete
  124. watu manichekesha sana mjadala ulikuwa wa dini sasa naona mijitu ianaanza kugomba yenyewe kwa yenyewe yaani ni vichekesho tu i wish tungekuwa tunalumbana live,sijui kungekuwa na ngumi hii ndio inaonyesha kuwa dini si kitu kizuri cha kubishania wajinga nyinyi.

    ReplyDelete
  125. Ubishi siyo kosa kama mtu unatoa counter argue in a empirical, rational and persuasive manner.

    ReplyDelete
  126. Anony wa 8:44PM ningelimuona ningemtwanga ngumi moja tu ya midomo kule hili apate akiri kidogo yeye walipotangaza mtu wa juu amechanganyikiwa ni kwenye internet tu anafikiri huku wanatoa kazi.

    ReplyDelete
  127. Wewe anony wa 9:20 PM: Changanua hoja siyo mtoa hoja!! Halafu ngumi na mimi huwezi mwanamke mwenye hedhi wewe!!

    ReplyDelete
  128. Ningekupa mkong'oto wa kiutu uzima hadi hiyo pedi yako uliyovaa siku 3 mfululizo ingechomoka!! Halafu ningekulisha pedi na midamumidamu na uchafu wako wote!! Msenge wewe!!

    ReplyDelete
  129. Jamani makubwa haya

    ReplyDelete
  130. hivi nyie mngekua live si mngeuana!!! kweli haya ni makubwa

    ReplyDelete
  131. Wewe Nalitolela usipoteze muda na nishati yako kubishana na wehu. Waafrika wanawasema wazungu kuwa "ni racists", hawajui kuwa kuna "racism amongst themselves".

    "Mswahili wa kibaha"

    Nani kati yenu asiyependa kuwa Mswahili? Wakati kiswahili ndo lugha unayolazimika kujifundisha hata kama hutaki? Waswahili hatujifundishi hii, twazaliwa nayo. Na ndo lugha inayoendelea kutesa Tanzania, Afrika mashariki na kati, na inaendelea kutawanya matawi Dunia nzima.

    Swahili people, recognised all over the planet. Watu Duniani hawajui iwe, bwashee,khriii, wala ndagafijo.

    Kwa wale wote wanaotuponda waswahili. "Acha wivu"

    ReplyDelete
  132. Mie nashangaa sana hawa wakristu matatizo waliyo nayo. Kila wakati mtu Mwislam mwenye uzoefu akiwa appointed katika ngazi za juu wanasema ni udini.
    Hii ndo mana nchi hii haitaendelea.Jaribuni kuangalia mifano kama Marekani na nchi nyingine zilizoendelea hawaangalii udini.
    Mbona wakati wa serikali ya Mkapa kulikuwa na wakristu wengi na hata waislam kunyanyaswa kwa kupigwa eti kwa sababu wanatangaza Dini yao?
    Ebu acheni ukoloni mamboleo na kujipenda.Mnafikiri ni nyinyi peke yeno mmesoma?Hata waislam wamesoma tena wana uwezo kuwazidi.
    Mie natoa pongezi kwa Mzee JK kwa kuchagua viongoze wanaoweza kuchapa kazi bila kujali Dini zao wala kabila.
    Angalieni mfano wa Rwanda yaliyowapata kw sababu ya Kujali Ukabila wa watusi na wahutu.
    Siku moja inaweza kutokea bongo kama hatuko waangalifu

    ReplyDelete
  133. AnonymousJuly 28, 2007

    congratulations mr othman for the position of intelligence chief. for those of u who donno this guy, he is one of the most intelligent, hardworking and respectful tanzanians i know. so those of u who are just vibing crap whether u like it or not he is who he is because he worked for and neither of u ma f***kers will reach there so if u can't take the bitter pill of reality then shove it up your ass. he is the boss and he gets all the respect he deserves and there is nothing u can do or say that can change that. peace out!

    ReplyDelete
  134. nimejiunga sio siku nyingi lakini kusema ukweli suala la udini litatupeleka pabaya. mimi naamin kuna watu wanafikiri ni dini fulani ndio wana haki ya kuwa viongozi wa nchi hii, huo ni ujinga wa hali ya juu. hao wanaodhani wana haki sasa niwaulize miaka yote tangu tumepata uhuru viongozi wa juu kuanzia rais, katibu mkuu kiongozi, mkatibu wakuu, wakuu wa mikoa ni wao, hii nchii ilipo nani wa kulaumiwa?!!! maana watunga sera na wasimamia sera ni viongozi wa juu ambao ndio wanaodhani wana haki kuliko wengine. jamani tanznia ni kubwa sana kuliko mawazo mgando na yasiyo na ustaarabu.

    ukipiga mahesabu ya viongozi walio madarakani sio uongo wakristo ni wengi mbona wenye kuona waislamu tu hawasemi!! uwezo wa mtu ndio kigezo kikubwa, dini ya ntu mie hainihusu. anony nadahani akili zako fupi sana. kamuone daktari

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...