daraja la salenda briji dar

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. mr michuzi naona turekebishane kidogo, unajua kingereza ni lugha ngeni. DARAJA LA SALENDER BRIDGE???? DARAJA LA SALENDER AMA SIYO? USICHUKIE TUNAREKEBISHANA.

    ReplyDelete
  2. Hapo kwenye kona kama unaelekea mjini ukiwa unaendesha gari chunga sana (taa huwa ni mgogoro)trafic huwa wanajificha na kupiga mabao. Kama huna elufu kumi ujue utabakiza gari.

    ReplyDelete
  3. wewe michuzi ni bingwa wa kidhungu hapo kaandikia waswanglish na ushamba wako soma nakala za michuzi inaonesha hupitii news zake wewe

    ReplyDelete
  4. ..Kwa faida ya Anonymous wa August 19,11:25PM, na wengineo, Daraja Hili linaitwa "SELANDER",sio "SALENDER" kama lilivyozoea kuitwa. Lilipewa jina hili kwa kumfunuku mwanadamu mwenzetu anayeitwa "JOHN SELANDER"(kuna kibango kimechomewa ubavuni mwa daraja la awali)..ila tuzungumzao kibantu tukazoe kutamka "Salenda"...kama tulivyoita "Deiwaka" kutoka "Day Worker".

    ReplyDelete
  5. nashukuru anony wa hapo juu...nilikuwa nakuja kuweka hiyo correction ya SELANDER umeniwahi.

    ReplyDelete
  6. hii ishu inanichekesha sana na inanikumbusha jamaa mmoja first time ughaibuni akaenda supermaket acha atafute blue band alihangaika sana mpaka kuja kujua hizo blue babd zina majina yake huku sio any siagi ni blue band,haha haha haha

    ReplyDelete
  7. Sikuwepo duniani muda mrefu sana, mnakumbuka tarehe 8, Machi 2003 kuna ajali ya ajabu sana ilitokea hapo Selander Briji? Landcruiser (hard top wataalam wanaita)ilitumbukia katikati ya daraja na kilichobaki nje ni ile paa tu la gari lililong'oka na kuangukia barabarani. Sijui trafiki walisovu vipi ajali hiyo. Ilitokea mida ya saa nne usiku hivi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...