kuna jamaa kaomba nimkumbushe menyu ya hoteli ya sheraton kwenye kambi ya wakimbizi mtabila

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. Yah hii menu kiboko nimeikubali baba ake Duh. Nipe ndizi nyama full!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  2. Hiyo menu chafu hivyo, na hiko chakula kitakuwaje?

    ReplyDelete
  3. duh ! kama mmestukia, angalieni katika neno "chai", wanaandika "chai cha kahawa", "chai cha maziwa"..duh hiyo kali

    ReplyDelete
  4. Menu Kali ninajiuliza tu ni kwanini wakaiita hoteli yao Sheraton

    ReplyDelete
  5. Ni kweli MREKEBISHARIKA,hata watoto wa Dar wana matatizo katika kutofautisha 'l' na 'r' mfano 'gari' wanasema 'gali',hata europe kuna hilo tatizo,na wao wanaheshimu matamshi ya watu wa sehemu tofauti na kuyaita 'dialect'...

    ReplyDelete
  6. nyie hamuoni kuwa hii picha imetoka mtabila kwa wakimbizi? hawa ni warundi! kiswahili bomba. ila 'chai cha kahawa' maana yake chai na kahawa vinawekwa pamoja? hii kali baba ake

    ReplyDelete
  7. nahitaji wali nyama fuluuuuu!!!...na chai cha maziwa
    mazee hii lugha sii ya kitoto!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...