kuna kijiwe kipya kimefunguliwa majuzi, chaitwa 'sip' baa na mgahawa. kiko karibu na sheli ya bp ya karibu hoteli, kwa kulia kabla hujafika sheli ukitokea mjini. huyo ndo mjasiliamali wake la tinga...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 12 mpaka sasa

  1. Muhidin, hapo umeniua kabisa. Unasema kiko karibu na SHELL ya BP? Mimi nilidhani SHELL ni tofauti na BP. Au vituo vyote vya mafuta ni SHELL?

    ReplyDelete
  2. du bwana michuzi wewe ushakuwa bwana unapanda ndege kila siku. haujui kutofautisha.BP NA SHELL MAKAMPUNI MAWILI TOFAUTI.AU NDIO MAMBO YA MTAA WA BIBI TITI STREET ALAFU UNYOSHE DIRECT MOJA KWA MOJA NA UKATE KUSHOTO KWENYE KIBAO CHA LEFT..NA UKIFIKA HAPO UNIDEEP KWENYE SIMU YANGU NDIO HAPO PALIPO NA CHICKEN PARTY YA MWANAISHA

    ReplyDelete
  3. Au kwenye daraja la sarender bridge,au eti mobitel yako inadola?,ila ndio hivyo wabongo gas station yoyote ni shell.

    ReplyDelete
  4. It is sooooooooooooooo funny

    ReplyDelete
  5. hahaha..mimi nacheki internenti kidogo..usisahau kuzima tv rimonti iko hapo pembeni

    ReplyDelete
  6. watu mmezibukaa!!! hizi za leo kali, LOL!!CD

    ReplyDelete
  7. hizo ziko kila kona hata america mtu anakuuliza una sh ngapi!!? au twende tukanunue lamb kwa madai ni mbuzi.lol.

    ReplyDelete
  8. hivi hizi tabia za kutembea unaonyesha simu hazijaisha?

    ReplyDelete
  9. sasa aiweke wapi ndio maana ikaitwa simu ya mkononi,vitu vidogo hivyo mnatakiwa mzooe

    ReplyDelete
  10. ni cellphone maana yake sio simu ya kushikilia mkononi anaweza kuweka mfukoni..funguo za nyumba ni ndogo kuliko hiyo simu basi angekuwa ameninginiza na funguo hapo basi..ni ulimbukeni uliojaa mjini dar.ndio maana wanaibiwa

    ReplyDelete
  11. hivi watu mmeishiwa kweli. Unajua sio lazima ucomment kila siku. Ukikosa cha kusema nyamaza. Yaani mmezua mjadala kabisa, kisa michuzi kusema sheli ya BP.

    Michuzi ni mwandishi na ameelimika na anajua tofauti ya vitu vyote na huwa anafanya makusudi kujifurahisha.

    Hili sio kama gazeti rasmi ambalo zina sheria zake za uandishi na mtumizi ya lugha fasaha. Michuzi anafanya hivi kutufurahisha na kwa taarifa yenu kuna wengine tunoana burudani.

    Either iwe kwa utani wa kusema bustani ya Mnazi Mmoja garden; au iwe kwa kutukumbushia enzi zile wakati uswahilini kila kituo cha mafuta kinaitwa sheli, kila dawa ya mswaki ni colgate, etc.

    Kama uandishi wa michuzi unawaudhi msisome basi blog, sio lazima.

    ReplyDelete
  12. WEWE KAMA MKE WA MICHUZI KAJITIE KIDOLE ALIKOSEA HAPO..MICHUZI SI MBOLIBO TU NAE!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...