Home
Unlabelled
f mtimkubwa tungaraza
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mzeee Michuzi! Endelea na kazi.Mzeee Fideee! Heshima zenu wote!
ReplyDeleteMichuzi una maana gani unaposema hapo juu ....."...zaidi ya kumpa laga hapa.."
ReplyDeleteKaribu Mzeee Tungaraza, karibu saana bongo mabloga kibao tuko hapa mwananchi ukipata nafasi mzee karibu eee. Braza Michuzi tunashukuru kwa kutuwakilisha kumpokea huyu mtu muhimu sana kwetu huraaaaaaaaa!!!
ReplyDeleteSasa wewe Michuzi haujui watu wa Scandinavia kwa kuubwia ndio wenyewe! Hawachezi mbali na Tuborg na Carlsberg yao....ni kwa sababu wote wana high salary hata jobless, tena kama wamekuregister serikali wewe ni mbwiaji, bingo! Una kroner zako nyingine extra kila mwezi, kwa hiyo everybody can afford, na ni culture yao pia. Sasa usiubwie mchezo na masnow yote hayo!
ReplyDeleteUsifanye Mchezo Michuzi weee si umejaribu mwenyewe?
Karibu mzee
ReplyDeleteI knew it.. kweli michuzi si mchezo and told mtimkubwa the guy will snap you somehow tuu.
ReplyDeleteAliko
By the way its all good
ReplyDeleteAliko
Mkulu F Tungaraza, Hausindile? Iwana walamka? baho taha iwana walamka.
ReplyDelete