jk akiongoza wabongo kufurahia ushindi dhidi ya bukina faso jumamosi. mwenye suti ni waziri wa habari, utamaduni na michezo muhammad seif khatibu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. UTAIFA ULIFIFIA KWAKO TU, WABONGO WOTE TUNALIFAGILIA TAIFA LETU SIKU ZOTE.IDUMU TANZANIA NA WATANZANIA.

    ReplyDelete
  2. Sasa huyu wazili wetu alikuwa anashangilia bao kama mwenzake raisi Kikwete ama alikuwa anamshangilia Kikwete? Naona kama akili na mawazo yake yote ameyaelekeza kwa Kikwete!

    ReplyDelete
  3. Unafiki ndio ulio mbaya pengine hata interest ya mpira hana basi kwa vile mkuu kashangilia basi nami nashangilia. Hta wazo la muafaka wa Yanga kupelekwa Ikulu ni ujinga ambao utaleta madhara kama ya CCM kufanyia kikao Ikulu, jamani IKULU ni sehemu takatifu Mwalimu kesha sema, sasa mnataka kugeuza kama jalala ama kijiwe, maskini, tunaenda wapi?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...