niko na balozi wetu umoja wa mataifa mzee mahiga

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 15 mpaka sasa

  1. michuzi naomba suirudie ulichofanya mapema tunza heshima yako mzee

    ReplyDelete
  2. Amefanya nini tena jamani?

    ReplyDelete
  3. minadhani jamaa anamaanisha ya kuwa Michuzi mwenyewe ni maarufu, inakuwaje anapiga picha na watu ambao siyo maarufu? michuzi anajulikana sana hata na watoto wadogo, eti bandugu kweli jamaa aliyepiga na michuzi mtakaa mumjue? usijiangushe Michuzi, watu wantafuta kupiga picha na wewe na siyo wewe kutafuta umaarufu ambao unao tayari. Michuzi wa wa wa wa wa!!

    ReplyDelete
  4. Tena chunga sana wewe Michuzi. Unataka kumsaidia muuaji hivihivi watu tunakuona. Kama umelewa umaarafu Mwenyezi Mungu akusamehe, lakini usifikiri Wabongo ni wajinga. Tumezoea kudanganywa lakini si wajinga. Mashaalah!!

    ReplyDelete
  5. Huyu balozi anatusaidia nini Michuzi.Uwakilishi wake huko UN una maana yoyote kwa nchi yetu zaidi ya siasa?Anachangia hata hoja huyu au ndio wale wanaoenda kulala tu

    ReplyDelete
  6. Huyo Balozi ndiye ambaye kuna baadhi ya waungwana walihoji kwa nini asipewe u director wa intelligence au ni Mahiga mwingine? sasa kama ndiye si tayari kazi anayo au?

    ReplyDelete
  7. kwa waru ambao wahakuona shukhuruni mungu Michuzi alianzisha tena matusi asubuhi hii kwa kuweka picha za watu wasizotaka kuziona u know who

    ReplyDelete
  8. Kwa manufaa ya mtoa maoni wa Sept 20, 6:44pm na wengineo: UN ni chombo cha dipolomasia chenye nyanja tano kuu; Peace and security, Economic & Social Development, Human Rights, Humanitarian Affairs na International Law. Balozi Mahiga na timu yake (of course wakiendeleza yaliyoanzwa na timu nyingene zilizotangulia), Tanzania ni moja ya wajumbe wa Security Council (and hence "Peace and security"),Dr. Wangwe yupo ECOSOC ( there is your "Economic & Social Development" function), Mama Prof. Tibaijuka ana head UNHabitat (there is your "Humanitarian Affairs") na Jaji James Kateka yupo ITLOS~International Tribunal for the Law of the Sea (and hence International Law wing), of coures this is to name a few. Wana blog, napenda kusawazisha.

    ReplyDelete
  9. unayejiita cunt masasi hater sasa unaanza kuboa. acha hizo bwana.

    ReplyDelete
  10. Anony wa 20sep. 2006, 6.44PM umezungumza suala zuri sana. waungwana walilalamika hila cha kuongeza mimi ninachojua hawakujua kitu kimoja kuwa director wa CIA, FBI inawezakana akapata wakati mugumu kuongoza security system ya developing countries in general. Our systems inatakiwa watu wanaoijua na siyo kwa sababu una internatinal collfcation pia unaweza kuiendesha vizuri.

    Hila huyu mzee CV babu kubwa sana.

    Kuna ugumu fulani ambao nauita primitive behaviour katika most of the developing countries.It takes some times kuweza kuupata.

    ReplyDelete
  11. Hahaaahaaa! Hewala Michuzi feki. Naona nafasi niliyokuwa nayo ishakuwa redundant. Haya, kuanzia sasa nitabakia kujiita "Anony mbaya".

    ReplyDelete
  12. we gay ambaye ni hater wa cynthia,tuko tunafwatilia cv yako,bila shaka utakua kihiyo,maaana kwa kweli unamatatizo!Muuaji unamjua wewe???sheet happens!kwa hiyo kama yamekukuta utajiju.
    Thnk we just had enough of u bustard!au unataka nawewe tukunotorious?

    ReplyDelete
  13. Unatafuta kupandwa nini? Kafirwe kule, kibushuti wahedi wewe!!

    ReplyDelete
  14. Ni nani muuaji?

    ReplyDelete
  15. Muuaji ni kaka yake huyo kahaba. Kwenye tovuti lake kaweka wazi kwamba anamtetea kaka yake na lolote lije. Ina maana hata kama angefahamu mahali anapojificha MOHAMMED MBEWA MUSTAFA basi asingethubutu kuwasiliana na polisi. Kwa hiyo kumpa sapoti YOYOTE ILE huyo malaya ni sawa na kumsaidia muuaji aendelee kujificha kutoka mkono wa sheria, kwani huyu kahaba amesema yupo tayari kumtetea kakaye MUUAJI kwa hali na mali.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...