Home
Unlabelled
bethdei
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
No wonder Msonga-Bagamoyo ndio maana anaogopa wazungu na waikristo.
ReplyDeleteKazaliwa hospitali gani? Au nyumbani?
Sababu 1950 watz walishaanza kuzaliwa hospilatini sio, kama wazazi wako walikuwa werevu.
Give us details please, about our Mr. President.
Anyway I dedicate to you Mr. President a Marlin Manroe Happy birthday song.
Hapo ndio CM angemkabidhi zawadi ya calender na kumuibia Happy birthday.
ReplyDeleteSI MATANI!!!
ReplyDeletehttp://www.youtube.com/watch?v=EGJZ6lJj2_M
Wewe unayetuwekea hiyo link ya youtube, ondoa utumwa kichwani kwako
ReplyDeleteNyimbo yenu mbaya kabisa,hata hamueleweki mnaongelea nini
ReplyDeleteHappy Birthday Mr President may god bless you and wish u happy long life .
ReplyDeleteRais wetu kazaliwa kijijini bila ya anasthesia! Ndio maana juzi akifunga mkutano wa wataalamu wa mambo na huduma za afya hapa AICC, Arusha, alitamka wazi kuwa Tanzania ya leo haina budi kutambua na kuheshimu wakunga wa jadi, hususani huko vjijini! Yaanai anataka wakina mama wa vjijini waendelee kuzaa kama pundamilia, nyamela, swala, fisi, na kadhalika, bila kutumia anasthesia au sizeriani operesheni! Je, hayo ndio maisha mazuri kwa kila Mtanzania?
ReplyDeleteeee!dada maura kaiva si mchezo
ReplyDeleteNarekebisha ni kijiji cha MSOGA katika tarafa ya LUGOBA Wilaya ya BAGAMOYO sio MSONGA
ReplyDeleteSAWA LAKINI HOSPITALI GANI?
ReplyDeletelakini na ninyi Watanzania wangu, hivi hamsomi somi yaandikwayo katika magazeti yetu ya Bongo? Kwa nini muulizane nilizaliwa hospitali gani? Someni basi niliyosema:
ReplyDeleteRais Kikwete aagiza wakunga wa jadi watumiwe kikamilifu nchini
By Novatus Makunga | Published 10/5/2006 |
Kam ni wavivu, basi ngoja ninukuru nilivyonukuriwa nikisema:
''Jamani mimi nimezaliwa kupitia mikono ya wakunga wa jadi naamini hata wewe profesa(Mwakyusa) ama siyo ?,nyinyi wote wenye umri wangu lazima itakuwa hivyo hivyo sasa hakuna haja ya kuwadharau ni watu muhimu sana kwa taifa.''