Home
Unlabelled
beyonce
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
BONGO KINA DADA MUPO? HAO NDIYO KINA VIMWANA WETU KESHO TU USISHANGAE DADA YETU CYNTHIA NAYE ANAKUWA KAMA BEYONCE PINDI ATAKAPO RUDI NYUMBANI. MIMI NASHAURI CYNTHIA TUMUENZI KAMA HUYU DADA BEYONCE SIONI SABABU YA KUMTUKANA WAKATI ANA JARIBU KUTAFUTA MAISHA KAMA AFANYAVYO HUYU DADA MLIOKIMBIZANA KUMWONA. TOFAUTI NI MAPATO TU LAKINI CYNTHIA WETU NI MZURI SAANAA TU BASI TU KAZALIWA BONGO ANGEKUWA HUKU SI AJABU ANGEKUWA KAMA AMA ZAIDI YA HUYU BEYONCE. KAKA MICHUZI TUPE CONTACT YAKE TUNUNUE KALENDA TAFADHALI...
ReplyDeletehapo juuu usimchanganye cynthia wako na beyonce kabisa hawapo sawa . yeye Cinthia amefanya nini kuleta maendeleo tz au kutembeela ?si aje basi na hizo kalender zake kuzua au kupromote aone kama anasoko tz?bona anabaki huko USa tu? aje bongo japo kusema wananchi mie nafanya model hii usikie kama hajatolewa mita hahahaah aendeleze kipaji cheke hukohuko ila wka bongo life style hana soko true !!!
ReplyDeletecynthia haitaji kuwa na soko kwako wewe usiyempenda kuna watanzania nikiwemo mimi, michuzi, na wengine wengi tu watajitolea kumsaidia siyo kwa kununua kalenda zake bali hata ki mawazo na ki msukumo, wewe na haters wengine hamumuitaji cynthia ni haki zenu. vile vile hata huyo beyonce usifikiri anapendwa na kila mtu huku usa ama hata bongo lakini wale wanaompenda watajitokeza kumpa moyo na kununua vitu vyake. tukirudi kwa cynthia atarudi bongo kujitangaza kwa wakati wake siyo ule unaopenda wewe na haters wenzako na ameifanyia nini tanzania? ukumbuke huyu dada bado mchanga katika fun yake kumbe tumpe muda maswali yake yatajijibu yenyewe, kwangu mimi naona calender zake zinauzika hapa usa na si punde ata toa filamu yake itakayo rekodiwa Tanzania hasa sehemu za mwanza na pia huku marekani, sasa wewe mjomba umelifanyia nini taifa lako mpaka unaweza kumkandia dada cynthia? zaidi ya kuwa mbumbumbu tu.
ReplyDeletehaiwezekani michuzi utukana namna hio, siamini (lakini jina ni la bluu??)
ReplyDeletewewe fala hapo unatupiga mkwala kitaani kumbe ni bausa tu
ReplyDeleteHiyo michuzi ya bluu naona imeongezewa "i" so si michuzi ila ni michuz'i''i'
ReplyDeletetime wasting ukibishana na mpumbavu unaonekana na wewe mpumbavu,
ReplyDeleteMichuzi kwa nini unapoteza muda wako na hawa matahahira wanaopoteza muda kuandika upuuzi, unajishusha kwenye level yao ya mawazo, kuanzia mozou mpaka huyo michuzi anayehangaika kuandika kwa jina lako kila siku, sisi tunajua huwezi kutukana kwenye blog yako mwenyewe, kama ndugu yangu alivyoshauri wewe kama unataka kutoa maoni toa kwenye headline ya picha ambayo hakuna mtu mwingine anayeweza kuandika zaidi yako sasa ukiingia huku kwenye maoni na kuandika ndio unawapa hawa wapuuzi kujichanganya na wewe.
Kwa wewe michuzi fake na mizou hivi kweli ukikaa nyumbani kwako hujioni kwamba wewe ni kixhaa na mawazo yako ni ya kitoto, I hope unajua hivyo coz mtu anayeweza kupoteza muda wake kwa ajili ya kumuharibia mwenzake lazima ana kasoro kidogo ya ubongo, you must b very frustrated with your life and very lonely go seek some councelling 4real
Hivi hii picha inaendaje na maneno yote hayo, Cyn kaingia vipi huku au ndio njia ya kibaya kujitangaza, arudi nyumbani ana status ya kurudi, au unataka abaki huko mwanza kuvua samaki miguu izidi kukomaa zaidi ya ilivyo sasa
ReplyDeleteB hayuko kwenye level ya huyo mpuuzi wenu kabisa, yeye anacheza kwenye nyimbo za watu wakati hata kutokea hatokei wakati mwanamama huyu anauza mamilioni, waste of time kuanza hata kuongelea hii
Hivi michuzi hiyo move ya kutafuta IP za watu wanaotukana iliishia wapi kama mnaweza kwa nini hamuwafungii hawa watu wanaongea huu upuuzi na kutumia jina lako au ilikuwa story tu
ReplyDeleteHATA SIKU MOJA HUWEZI KUMFANANISHA CYNTHIA NA BEYONCE. KUMAAMAKO WEWE. AU MACHO YAKO YANA KENGEZA?
ReplyDeleteNa huyo wa mbali nyuma kule anaonekana kama CLAY ISHENGOMA au nimekosea maana kidosho wake alikuwa anakaa hapa mwananyamala. huyu jamaa wa kihaya ni mshamba anatoka mpaka na wasichana loko kabisa wakati ana mke nyumbani. Hivi siku hizi kazi yake nini huyu. Au ndio kutumwa tumwa tu. Maana tangu alipofukuzwa kwa kuiba interchick naona anazurura tu mara na Rose Mwajasho mare Asha Kidume na hayo loko gals wake.
Michuzi hawezi kutukana namna hiyo kama huyo jamaa wa hapo "Michuzii" wa blue, michuzi mwenyewe ni "i" moja tu ya blue "Michuzi".
ReplyDeleteHivi yule askari wa kukodi siku hizi ameishia wapi? Yule Billi gates.
ReplyDeletethe girl is sick with herpes na matizo kibao mnazungumzia hamjaona wanawake mnawanawake wabovu i mean cynthia is crap rooten crab how you compare her and beyonce
ReplyDeleteIt's an insult to compare the ugly and fake Cynthia Masasi with Beyonce!
ReplyDeletecynthia is a very beautiful tanzanian woman,she is real representing well keep it up cynthia u got soo much support an we love u.
ReplyDeleteJamani na huyu Dada wa kitanzania huku America memuandama sana,hivyo kwa wale waliyokuw huko USA huyu dada alifanikiwa kumpa KIKWETE calendar au domo lilikuwa zege tuu
ReplyDeleteyaani inaboa sana kila sehemu huyu Cithyia sijui anakazana kujichopeka si atulie wanaomtafuta watamtafuta kwa njia zingine .Hivi Tz kuna model mmoja tu !!! yaani nimechoka wka kweli kila ukisoma post haichelewi kuna jina lake sijui yeye mwenyewe anaona sifa au vipi. Ushauri wa bure jitahidi kutulia kipaji ujuzi hakijifichi kama unacho watakijua watu tu sio kulazimisha watu jamani mweeee!!!. Mamodel wengine wametulia tuliii wanajiendeleza na shughuli zao ila huyu chaaaa too much !!!.
ReplyDeletemichuzi lete picha zingine za beyonce
ReplyDeletemimi naona most of watu wanaoandikwa humu ndani sio wanajiandika i dont think soo mi nahisi ni watu ambao hawana kazi tena huko ughaibuni ndio kazi zao kuandika mambo ya ajabu ajabu kila siku,kama umetoka kwenye kazi ya kwanza nenda kazi ya pili ili umbea upungue,kila siku peter rupia,cynthia sijui kikwete,michuzi,hasheem come on maan get a life do something.
ReplyDeleteukitumia akili hao watu huo muda ushenzi mnaoandika humu wenzenu wanafanya kazi zao,hawana muda wa kujiandika eti ili wawe maarufu,hakuna kitu kama hicho peter rupia ni celebrity,michuzi celebrity paparatzi,hasheem celebrity basketballer,cynthia celebrity tanzanian supermodel,kikwete we all know Mr:president wote hao ni wanajulikana hawana haja ya kujiandika kalagabaho.
kazeni buti watu wangu mlioko bongo tuna wasapoti na mlioko marekani tunawasapoti,lazima tusapotiane ili nasisi tujivunie siku moja.
jamani cynthia ni bomba haka mkijaribu kumdestroy ni bomba tuu,b4 nikutane nae watu oooh demu anaringa demu hizi nimekutana naye minesotta kwanza ni mzuri pili hajui kitu kinaitwa kuringa ni mchangamfu saana hongera cynthia tunakuombea Mungu uzidi kuendelea na kazi zako.
ReplyDeletekaka michuzi tunaomba utuongezee picha za cynthia please.
nakubaliana na nyinyi hapo juu beyonce ni mzuri na cynthia ni mzuri tunaotaka kumsapoti cynthia tumsapotini msisikilize mambo ya wambea.kama humpendi kivyako si tunammind
ReplyDeletecynthia kutajwa tajwa siku zote ni dalili ya watu kumpenda.
ReplyDeletepicha zenu nakubaliana na wewe,kama mtu hampendi cynthia acha kumuongelea.
ReplyDeleteMashabiki wa mapicha zaidi ya Jay Z na Beyonce, fungua:
ReplyDeletehttp://myafrica.wordpress.com/2006/10/08/africa-beyonce-visit-to-tanzania-in-pictures/
Dada Cynthia big ups, usikate tamaa haya mashambilizi yote ni kwamba watu wanahate so jitahidi usirudi nyuma chimbua sana na mastaa,najua sisi wabongo kila mtu anapenda kujulikana hasa huku ughaibuni but hawajapata mwanya kama wako. ukitaka cha uvunguni shuruti ujipendekeze ggggggoooo Girl!!!wewe ndiyo ndiyo mwenyewe hasa kwenye hii blog ya michuzi una bonge la chati....naona watu bila kutaja jina lako hawapati usingizi.
ReplyDeleteanony 4:21AM mi nashindwa kuelewa hapo juu ni picha ya beyonce lakini cynth sijui katokea wapi dooh wasije wakammaliza dada wa watu bure kwa wivu.cynth marekani ,bongo,kwa waingereza umefunika hakuna modo anatamba kama wewe sasa hivi nchini tanzania kama wewe keep it up.
ReplyDeletekatika mamodo wanaofanya mambo ya maana ni cynth na nancy na ningeweza kuwakutanisha ningefanya hivyo na pamoja na hayo ni wazuri pia na hawaringi kwa habari nilizonazo.
hongera saana dada zangu msisikilize habari za wapuuzi wowote wanaotaka kuhate tena sana sana kwa cynth,wewe bomba wala huna haja ya kufikiria mara mbili kamua tuu,wachawi hawawezi kuisha sema inabidi uwapulize tuu kama OANGA LA SHAMA na UFUDU na madomo yao ya kupuliza uchawi.
nilimaanisha PANGA LA SHABA sio OANGA LA SHAMA.
ReplyDeleteMBONA WATU MNAONGEA UTUMBO HAPA. UNAMSIFIA CYNTIA NA NANCY? ETI WANAFANYA YA MAANA WEWE UKO PLANET YA WAPI NDUGU? NA ETI HAWARINGI. UMESEMA NI KWA HABARI ULIZOPATA......NAOMBA UULIZIE TENA HUKO ULIKOTOA HIZO HABARI MAANA NI ZUGA ZOTE.
ReplyDeleteni kweli cynthia na mdogo wake nancy hawaringi na ni wazuri pia jinyonge tu.
ReplyDeleteJambo,
ReplyDeleteMimi kusha suho Swahili.Na jua kidogo kidogo.
I lived in Mwanza from 1960 to 1968 .and was student of Aga Khan School then.My childhood all passed in Mwanza.Now I live in UK.
If any one want to share moments please write to my e-mail addres
maj421@hotmail.com.
Asante sana.
Kwaheri
Rafiki Yako.
Arshad