Home
Unlabelled
uteuzi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
mie ningemchagua huyo wa kwanza !! hivi uncle misupu hawa watoto wote wanakuwa mabikra au ??
ReplyDeleteMie ningekuwa King Mswati Ningekuchagua WEWE MICHUZI KUWA MKE WANGU WA 17, umeshindwa kwenda kwenye msiba MBEZI kwa marehemu VONETHA lakini ulipata muda wa kupiga picha na Jay Z, huna aibu kabisa wewe. Mkiwa huku mlikalia kula mapilau na kupiga mipicha ya mapose na kwenda kwenye msiba detroit hamkutokea umefika bongo mnajipendekeza kwenye misiba na tu camera twenu, nani kawaomba mpige picha?
ReplyDeletewewe mizzou unakaa dc ? kama unakaa dc nadhani ulikuwa unamchukua mtoto wa high school wewe ! kama sio wewe samahani nitakuwa nakufananisha tu majina
ReplyDeleteSasa huyu Mfalme anataka kutafuna mwenyewe tu, watu wengine je?
ReplyDeleteILANI WEWE MIZZOU!
ReplyDeleteMIMI SINA MUDA WA KUBISHANA BISHANA NA WASENGE NANI KAKWAMBIA SIKUITWA KUPIGA PICHA KWA MAZULA? WEWE UNAONGEA KAMA MALAYA, KWANI KUNA UBAYA GANI MIMI NA MHESHIMIWA KIKWETE KWENDA KULA PILAU TULIPO KARIBISHWA? WAKINA KEENAN WALITUALIKA BOSTON SASA ULITAKA TUKAE TUU DC? HUO MSIBA ULIOTOKEA MZEE KIKWETE TAYARI ALIKUWA NA RATIBA ZAKE ASINGELIWEZA KUZIBADILISHA NA SISI TULIKUJA NAYE KIKAZI SASA WEWE MALAYA MSENGE UMECHOKA KUBEBA MABOX UNAANZA KUNICHOKONOA, MIMI NAKUJUA SANA UMEANZA HUU USENGE TOKA DC TULIPO FIKA TU, USIDHANI NIMEKAA KIMYA BASI UNAFIKIRI WEWE MJANJA. MABOX YA DC NAONA YAMEKUWA MAGUMU SASA HASIRA ZA KISENGE USITULETEE SISI, HANITHI MKUBWA.
Heee Michuzi Taratibu kaka mwezi wa toba huu, ama huja funga kaka?
ReplyDeletenaona mtu akikaa kimya anachokonolewa sasa michuzi watolee uvivu hao wabeba mabox wa marekani wamezidi kutudanganya na kudharau umewapa kinacho takiwa wape wape vidonge vyao waka bebe mabox vizuri huko DC
ReplyDeletehongera unayejiita 'michuzi' kwa rangi nyeusi. naona umeshushuka jinsi wadau walivyokudharau.
ReplyDeletewadau, nasema tena, mie nikiweka maoni jina hutoka rangi ya buluu, hivyo hao imposta endeleeni kuwaonea huruma.
najua huyo 'michuzi' imposta ambaye ni mweusi ni mmoja wa wale wenye inda ya maendeleo yangu haya kiduchu ya kupata zaidi ya watu 300,000 kwenye blogu yangu.
mwako 'michuzi' feki, asante kwa kuniongezea idadi ya wa kunitembelea. sisumbuki na hayo na wala usidhani nitafunga maoni. hii si blogu yangu ni ya wabongo wote ambao wewe unajitahidi kuwaudhi lakini wamekudharau
ujumbe wa hapo juu unaomhusu 'michuzi' feki ambaye ni mweusi umwendee na huyo anayejiita mizzou. hakika anajitahidi sana kuniharibia lakini na yeye kama 'michuzi' feki mweusi anashushuka.
ReplyDeleteasanteni wadau kwa kudharau watu hawa. na naomba wala msiwajibu wala kubishana nao. na mimi hamtinisikia tena nikijibizana nao hata watukane vipi.
nimeshawazowea hao na nasema tena. asanteni 'michzui' feki mweusi na mizzou kwa kuniongezea wadau wa kunitembelea. naandika haya nikiwa na wadau zaidi ya laki tatu - and counting - hahahaaaa! Talk about having the last laugh.... Oppps! samhani, nimefurahi hadi naongea kimombo...
Yaani huyu Mfalme Mkware kinoma..halafu inaonekana Maza wake huwa anampa tafu katika kuchagua hivyo vimwana.
ReplyDeleteLakini hivi inakuwaje katika kuwahudumia hao wake zake? Tuseme anauwezo wa kuwapiga bao wote? na ni utaratibu gani ambao huwa anautumia? Maana wasiwasi wangu anaweza akawa hawatimizii matarajio yao ya kimwili na kusababisha hao wake wasiwe waaminifu na wakatembea nje ya ndoa
hivyo bwana mfalme anaweza kuwa katika hatari ya kuambukizwa gonjwa la ukimya!
Michuzi, mambo
ReplyDeletePole sana na hongera kwa kukabiliana na hoja zembe kwenye blogu hii. Lakini sheikh si ulisema kwamba kuanzia sasa kama utatoa maoni basi utaweka picha yako, mbona sasa hufanyi hivyo ?. Weka basi picha yako hiyo vinginevyo wacha watu watumie upuuzi wao kwako
joji njogopa picha nilosema ni hayo maandishi ya buluu. iga ufe! hahahaaaaa. hao 'michuzi' feki wakiiga hata rangi hiyo ntawaheshimu, na ntaanza kuweka na pichal. vinginevyo nimeona haina haja kuhangaika. halafu inaonesha huyo 'michuzi' feki mweusi na mizzou ni kutoka nchi ya watani wetu wa jadi wenye kupania kuifanya bongo isitoke. hahahaaaa. wamenoa!
ReplyDeletemichuzi sasa wewe watu waki ku ctiticize unakasirika hakuna anaye kuharibia sasa wakenya wakisoma comments zako unataka waandike eti wewe/tanzania inawaonea wivu? mbona wewe una comments sana kuhusu kenya? unakuwa kama huja soma brother, blog uanzishe wewe na misutano uwemo pia? sasa hata ukipata watu milioni tano unafaidika nini? ushamba bwana...!!
ReplyDeleteHILI SUALA KWELI NI LA KUMKANDAMIZA MWANAMKE NA SI KUMPA UWEZO WA KUJIAMINI KAMA WANAVYODAI WENYEWE MAANA HATA UKIANGALIA WANAWAKE WAZURI WOTE NDIO WAKO MBELE ROW INAYOFUATA UNAJUA KABISA MSWATI HATA HAWEZI KUHANGAIKA KUINUA KICHWA CHAKE A-T-A-F-U-T-E NINI ALICHOBAKIZA? SIYO HAKI KABISA HATA HAO WALIO NYUMA WANAJIJUA KABISA SI WAZURI KAMA WA MBELE NA MATOKEO YAKE WAKITOKA HAPO AMA WATAHANGAIKA KUJIWEKA WAONEKANE WAZURI NA UZURI HUO HAUTAKUJA BALI KUJIARIBU PSYCHOLOGICALLY,AU WATABAKIA KUWA WANYONGE TUU KWAMBA KAMA MSWATI HAKUNIPENDA NANI SASA? MIMI NIMEISHA...NARUDIA TENA SI HAKI KABISA.
ReplyDeleteMICHUZI WALA HUKUWA NA HAJA YA KUJIELEZA KWA MAELEZO MAREFU KWAMBA SI WEWE NI KWA MTU WA MAWAZO FINYU TU NDIO ANGEFIKIRI MICHUZI MWEUSI NI WEWE BINAFSI NILIJUA SI WEWE,TUNAKUPENDA SANA MICHUZI NA KUHESHIMU KAZI YAKO KIASI CHA KUTOSHA NI NGUMU KUELEWA VINGINEVYO,HATA HIVYO NI SAHIHI KUELEZA KWAMBA SI WEWE LAKINI ULIHITAJI SENTENSI MOJA TU NA SI MAELEZO MAREFU.
ReplyDeletewewe mizzou ndio unaonyesha level yako ya ushamba kumwambia michuzi akipata wasomaji milioni tano anafaidika nini...inasikitisha sana kuona upeo wako ni mdogo sanaa aisee huu uhuru wa kuandika nao jamani unahuzunisha sana kuwepo kwa watu kama kina mizzou hii web leo inakupa picha fo free unakandia lakini nakwambia hii hii web kesho itatengeneza mamilioni ya fedha ikitumiwa vizuri Michuzi fanya kazi yako tuko pamoja.
ReplyDeleteAnony wa 7:10 umesema yote. Watu kama Mizzuo sijui tutawaitaje, hawana jema. Kabla Michuzi hajatoka na blog hii ujinga wenu mlikuwa mnaweka wapi?
ReplyDeleteTo real Michuzi,
Mungu akubariki sana kaka, siku moja matunda ya uvumilivu wako yataoneka. Ni busara zako ndio zinafanya blog hii iendelee kuwepo na inshaallah siku moja nia njema itashinda.
kuna dada kama wa sita hivi anaupaja sio mchezo !!
ReplyDeleteInawezekana Fest ledi aliudhuria hii sherehe ili kumchagulia rais wa awamu ya nne nyumba ndogo.
ReplyDeleteMichuri haya mapanga vipi tena?Nikimchagua mmoja wapo anakuja na panga lake nyumbani au? Fuatilia umuhimu ya hayo mapanga kwanza-mambo mengine yatafuata baadae.
ReplyDeleteSimba na wewe tunaomba upotee humu kwenye kipindi hiki cha toba, humu sio kanisani wala msikitini, Michuzi chombeza chombeza, lete burudani achana na wanoko hao.
ReplyDelete