kaka john mhina wa bendi kongwe ya the tanzanite bado anadunda. tuko kwenye mchakato (process) ya kuingia mikataba na lebo, wasanii, maprodyuza na wadau wengine ili mtandao wenu wa muziki wa bongo uwe tajiri kwa muziki wa nyumbani. mipasho, mchiriku, reggae, kwaya na midundo mingine yoooote itahusishwa. pia tegemeeni mapicha yenye ubora kama huo hapo juu wa wasanii wetu mbalimbali. ila tunaomba muwe na subira, roma haikujengwa siku moja.

vile vile twakaribisha maoni ya kujenga ili kuboresha mtandao wenu huu

KUNA WADAU WANASEMA HAWAJUI WAINGIE VIPI KWENYE MTANDAO WENU MPYA WA MUZIKI WA NYUMBANI. WE BONYEZA POPOTE HAPA KWENYE BULUU NA UTAINGIA MOJA KWA MOJA.

ASANTE

MK & MICHUZI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Huyu Msanii, mimi heshima zangu zote nazitoa kwake! Nakumbuka enzi hizo Kilimanjaro Hoteli mambo ya Simba grill mimi bado mdogo kisawasawa lakini mapenzi yangu ya Zouk na wahasisi wa Zouk yalikuwa makubwa. Na kama hapa kuna watu wanaelewa nachoongelea watajua Kassav ndio ilikuwa kilevi cha mpenda Zouk. Huyu msanii alinijulisha kuwa ndani ya bongo miziki yote inalizwa maana sina hata cha kuelezea ni nini huyu Msanii alichokuwa anafanya ! Mzee John Mhina washabiki wako bado tupo. endeleza mambo!Simon mdogo wake Davie!

    ReplyDelete
  2. Huyo mama upande wa kulia juu ya mahusiano.com mwenye laptop ni nani?

    ReplyDelete
  3. Hayo ni vijimambo tu ya Template and Designing.

    Thanx.

    ReplyDelete
  4. kaka una sura nzuri ya kuvutia, au niseme "handsome". Mkeo amejipatia kweli, namuonea wivu...

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...