supa modo dume wa bongo akila pozi kwenye shoo ya mustafa hassanali jana

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. Sio mbaya ila inabidi afanye mazoezi ya tumbo (ABS). Hana tumbo la kuvutia kuwa model, hafai kuachia vifungo wazi, siku nyingine brother funga vifungo au la sivyo fanya mazoezi, sit ups, push ups au crunches zinasaidia kuleta sexy abs.

    ReplyDelete
  2. huyu kaka sio mwimbaji wa Twangapepeta kweli, ana sauti nzurii anaitwa Ige Muyaba kama sikosei n'nemuona kwenye DVD n'netumiwa kutoka bongo

    ReplyDelete
  3. not bad at all more workouts on his ABS will give him competitive advantage to fit in that category.

    ReplyDelete
  4. kweli wabongo wazuri.... nani atatushinda!
    Basi tuwe wajanja jamani!!!

    ReplyDelete
  5. Hajafikia U-supermodel kwa standards za West. Anahitaji six-pack au rippled abs. LOL! Mzuri lakini!

    ReplyDelete
  6. Kaka umependeza and una body safi.achana na watu kwa wivu.

    ReplyDelete
  7. hapo anacheka analia?

    ReplyDelete
  8. he is Patrick adolf , younger brother to mIss Tanzania 1995 Emily Adolf!

    He is married and has a child!

    ReplyDelete
  9. Mume wa Asha !! GUGU GAGAAAA!!

    ReplyDelete
  10. huyu jammaa vp,mambo kama mambo fulani!!! sio Riziki.......!!! analembua macho

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...