Home
Unlabelled
shafild
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Michuzi, I've fallen in luv wit the guy wearin' a blue/lilac tie.Kaoa...?
ReplyDeleteUkinipa jina lake tu mie ntamaliza kila kitu.
Usiniangushe Michuzi,jina lake tu.
nawaona vijana wa UD deo,robert na julius.Mmependeza naona mambo ya ukerewe si mabaya
ReplyDeletemichuzi I forgot to tell you my name, I posted a first comment up there, my name is John Riwa. please pass my comment. I love the guy is cute and handsome...man he kills me!
ReplyDeleteMichuzi nashindwa kuelewa baadhi ya wa tz angalia huyo rIwa inaonekana ni muingereza nini? anaonekana anawapenda wanaume wenzake mambo gani hayo? hebu asituletee balaa akae ukerewe kwake na asirudi bongo kwa ufedhuli wake
ReplyDeleteRobert upo?Demu wako uliyemtolea mahari watu wanajisevia tu huku,pole ndio maisha usimind sana,si anaitwa Ema?Ana komwe flani hivi!!
ReplyDeletesema Lashayo naona unarepresent.big up.Michuzi huyu Lashayo a.k.a Deo sijaonana naye longtime.cheers kwa kumuweka hewani!
ReplyDeletejulius nakuona na suti yako ya church, imekutoa si kitoto...
ReplyDeleteHallo michuzi,nawaona hao vijana Watanzania pure ndani ya Ughaibuni,inapendeza kuona vijana wachache wenye mwamko kama hao wakijitokeza kuongea na Rais na zaidi ya hayo wakiwa wamependeza kama wanavyoonekana,KEEP IT UP MEN
ReplyDeleteJohn Riwa kasema ukweli hata mimi ningekuwa na dada ningempa mshikaji....duh ila Riwa unatuaibisha.
ReplyDeleteee bwana kweli Ulaya hakuongopi yaani hao vijana ulionao hapo Michuzi wanang'a utasema wamezaliwa huku UK??!!Ila kilichonifurahisha ni mwamko wao,yaani kutaka kuonana na Rais,KWELI KAMA WALIVYOSEMA KUNDI LA WANAUME "NYUMBANI NI NYUMBANI",aminia
ReplyDeletedaaa jamani michuzi kweli hao vijana waliopiga suits ni Watanzania?kweli laiti ningekuwa na dada ningemshauri achague mmoja wao,kwani may be baadaye wanaweza wakawa kati ya tegemeo la taifa hili changa
ReplyDeleteDeo umetoka bomba sana,ulaya kutamu si mchezo!Picha nitaituma kwa wakwe zako, na demu wako yule ulioniachia nimlinde amenishinda watu wanajisevia,usipanic!hayo ndio maisha.
ReplyDeleteTatizo lake watoa comment hapa ni hao wenyewe waliopo kwenye hiyo picha. AM sorry to say that, lakini inakuwa kama ya akina AMINA Chifupa.
ReplyDeletehuyo jamaa wa kwanza kulia vipi Michuzi mbona kama kiwili wili kinataka kuachana na miguu salama hapo au ndio suti hizo?!!
ReplyDeleteWa bongo bwana kwa kupaka motope hawapo nyuma,bob demu wako yupo ametulia,wanock nock tumewazoea.bongo jua kali tu.
ReplyDeleteDuh,braza Michuzi hao washkaji wanawaka kinoma na suti za promotion sunday market!!Aminia baba,mkirudi bongo mtasumbua nazo si kitoto!Were were haina nginja
ReplyDeleteAcha uwongo wewe John Riwa,I posted that comment and I'm a woman.Shame on you kuwania wanaume wenzako.Huna hata aibu,kutaka kutuharibia wanaume sie.mshiiiiiii...nimekufyonza.Robert , you rock man!kama una mtu hongera,kama uko single baba....tutafutane.
ReplyDeletenyie watoto msiwe wajinga JOHN RIWA tunamfahamu anatotoz za nguvu nyingi tu wala hakai london anakaa marekani kuna mtu ana jaribu kumharibia jina. Haendekezi mambo ya ugay huyo aliye post labda ndiyo anaendekeza.John is not crazy to post that kind of comment and put his real name, unless the names appears to be just simiral which is not the case here. Toweni comments za maendeleo siyo chuki...
ReplyDeletemmmh!hizi suti za mtumba au?
ReplyDeleteI am curious to know what Michuzi is trying to tell us here. Was this the kind of responce you expected? I think people have gone off track.
ReplyDeleteMichuzi
ReplyDeleteUghaibuni lazima ung'ae macho maana picha zako za huko zote umevaa suit za homu umevaa vingine inawezekana tu ukitinga nguo ulizotinga ughaibuni hapa home utangaa tu macho.
Asante hongera kwa kazi yako