soko kuu la kariakoo lilivyo leo...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. michuzi si ilisemwa kuwa kandoro ameondoa watu woote wanaouza kandokando ya soko,,au hii ilikuwa kabla ya kandoro kuja??

    ReplyDelete
  2. Michuzi kulikoni tulisikia kuwa kandoro kaamuru hizi vurumai hapa nje ziondoke maana vibaka wamezidi, biashara ndani tuu?!

    ReplyDelete
  3. Hata ukerewe masoko ya vyakula - na mbogamboga ni kama hayo yanayoonekana hapo nje ya soko kariakoo. michuzi nipe email yako nikutumie picha ya masoko mjinga toka ukrewe tena naenda kuipiga picha sasa hivi. nipe email au sanduku lako la posta nikutumie. tusidharau vya nyumbani jamani!

    ReplyDelete
  4. sasa kama marekani kuna vurugu kwenyea masoko yao basi lazma na kwetu ziwepo???
    si tunataka utaratibu uwepo basi hatufatishi marekani! acheni utumwa kwani hatuwezi kujiwekea taratibu zetu wenyewe mpaka tufate za watu

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...