Home
Unlabelled
ukerewe
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Michuzi!
ReplyDeleteMakoti hayo unavaa mawili- mawili, au moja umemshikia anayekupiga picha? Wasalimu Wakerewe wote. Chunga;Samaki wa Ukerewe watamu, lakini wengine wana miba mingi!
Wewe michuzi nomma. Kuna watu unajilamba sana kwao [majina nayahifadi kwa vile nikiweka hayo majina huta post hii] lakini nakwambia if you want us to respect you be fair. Kama hapa kijueni kwako ni kwa kuwa promote wengine na kuwaharibia sifa wengine let us know bwana.
ReplyDeleteKwanini maoni mengine ambayo sio hata ya kumtukana mtu wala nini hujayaweka...unajua mwenyewe what I am talking about.....BE FAIR.
Nakuunga mkono hapo juu! Makoti mawili ya majira ya baridi ya nini?
ReplyDeleteMbona wapenda kuwamo katika prezidesho advansi pati kiprotokali...Kongo-K na sasa huko "Ukerewe"...shushushu nini?
NI KWELI ANONY...HAPO JUU MICHUZI HAYUKO FAIR HII INAONYESHA TANZANIA BADO HAMNA DEMOKRASIA YA KWELI...KILA MTU ANA SHERIA YAKE TENA HASWA AKIWA KIGOGO.NILITOA MAONI KUHUSU NDESAMBURO HAYAJATOLEWA NG'O NOMA!!NAJUA HATA HII HAITAPITISHWA.NILIOMBA MJADALA WA WALE MALAYA WA BONGO WANAONA ONA NI SIFA KUFANYA VITENDO VYAO VIOVU KWA JAMII IRUDUSHWE HOJA ILI WACHAMBULIWE ILI JAMII IELIMIKE KAMA WENZETU UGANDA WAMEELIMIKA NA WAMETULIA SASA ...MICHUZI HATAZITOA
ReplyDeletepole sana MICHUZI ILA JUA UTAZIDI TUKANWA WEWE NA KULAUMIWA,JUST B COOL
ReplyDeleteMSHAMBA SANA HUYU JAMAA MWONE KWANZA NA MAKOTI MAWILI YA BARIDI, HALAFU KUJIITA UKO UKEREWE MAANA YAKE NINI WAKATI NI WAZI UKO LONDON HAPO?
ReplyDeleteAU UNAONA NOMA KWA SEHEMU ULIYOFIKIA?
ANGALIA LONDON BUS HIYO, KWAWALE WALIOFIKA LONDON MNAELEWA, NA KULE NYUMA YAKE POSTBOX NYEKUNDU,
Vp utakwepo mpaka J pili Ukerewe! Uwaone vijana wako Liverpool "LIVE" wakila kichapo ?
ReplyDeleteNdo maana siku ile nilikuona mtaa wa Garden... Kumbe ulikuwa unanyemelea visa!
ReplyDeleteHongera kaka usisahau kuingia kule Manzese ya London utupe kinachoendelea huko itakuwa bomba naona baridi iki katika kiwango cha juuuu huraaaaa safari njema.
ReplyDeleteKweli kabisa Michuzi amekuwa sio mdedekrati siku hizi. Kama mimi niliposti kusema kuwa amepata tena lifti ya kikwete lakini hakutoa hii comment. Acha roho mbaya Michuzi.
ReplyDeletemh michuzi na wewe umezidi ushamba maana hata hiyo simama.Anon.wa kwanza hapo hapo si ukerewe ni london huna haja ya kudanganya mizhuzi..usisahau kupitia miji mikubwa ya wabongo huko kama Slough wa zanzibar kibao huko..usinibanie comments zangu michuzi toka nijiunge na hii blog hutoi comments zangu
ReplyDeletehilo koti kamshikia anempiga picha.duu jamani ukweli michuzi ana sura mbaya.mashindano ya wabaya inabidi ajiunge angekua number mbili toka kwa remmy ongala
ReplyDeletemichuzi umeenda lini huko london wakati ijumaa nimepita studio kwako may fair nikakukuta?au jumamosi umeondoka??
ReplyDeleteWAKATU HUU NI MAJIRA YA HALI YA HEWA INAITWA -WINTER- UINGEREZA.
ReplyDeleteNA TICKETI NI CHEAP SAAAAAAANA, NDIO MAANA HATA MICHUZI KA-AFORD KUNUNUA TICKET, IKIFIKA SUMMER, TICKETI WEYEEEEEEEE HAZISHIKIKI VERY EXPENSEVE. KWA HIYO NDIO MAANA NAYE KAJIMWAGA, HONGERA.
LAKINI NAONA UKO NA MALOFA TU WABONGO.WATU WA MAANA WOTE WALIKUWA NA MAMBO YAO MENGINE HAWAKUBABAIKA NA KWENDA KUONANA NA KINA MISOUP.
LAKINI HONGERA MICHUZI, NA WALA HUNA SURA MBAYA SANA, WAJAMENI GIVE CREDIT WHEN IT IS DUE. UNAMFANANISHA MICHUZI NA REMMY?????????? WAPI NA WAPI?????? AAAH! WABONGO BWANA. ACHENI MAMBO HAYA.MICHUZI BONGE LA HANDSOME FULANI HIVI.
Michuzi,
ReplyDeleteEbu tuwekee picha za mkutano wa JK na wananchi huko. Nasikia kuna wakereketwa wa CCM waliteka mkutano. Ni kweli?
michuzi kweli ur not fair, u dont publish all the comments y bwana. sio vizuri kama sio matusi y unatubania
ReplyDeletenimekuona hotelini unaangaika juwapasha vijana habari, sasa wapi picha ya mzee wa machalanga a.k.a wa hiziii nazoooo maana nilikuona mkikumbushana ya kale.....kesho rudi bongo tuachie Nansio yetu na Ukerewe nzimaaa, husisahau kubeba kfc burger utabeba asubuhi ukanywee chai, ebu badilisha hizo chapati na maandazi ya mayfair mzeee.....
ReplyDeleteSahau hiyo CHIIIIIIIIIIIIIZ!
ReplyDeleteAchana na hiyo tabasamu feki yako ya kila kwenye picha! Wewe ni mpiga picha tunajifunza kwako namna ya kupozi (CHEKENI)!
Muttaz Muttah post kitu kwenye blogu yako acha uvivu
ReplyDeleteHello Michuzi kazi unayofanya ni nzuri ila tungekuomba utumie lugha sahii, pamoja na majina ya miji au nchi tumia majina halisi. Unaponza mweyewe kutia mambo ya kihuni ndani basi watoto wa mjini watakuandikia mambo ya kihuni na usilalamike. Tungependa hii iwe ni sehemu moja kuelimisha jamii. Nkutakia kazi njema.
ReplyDeleteWewe anonymous huko juu acha kupiga kelele kwa sababu umeangalia video za kutosha na kuona hayo mabasi ya Uingereza basi usijifanye mjuaji. Michuzi amesema Ukerewe kufanya tu hoja iwe fun sasa huni inaanzia na UK- what's wrong with saying Ukerewe? Uelewi kuwa artist kwa hiyo nyamaza kama unajua zaidi basi lete tongoli ya blog yako tuone unachokiongea wewe huko basikama utapata watu wowote wanaotembelea huko
ReplyDeletesorry michudhi,hii haihusiani na picha.Nilikuwa napenda nimpe pole yule dada halima Michuka kama unaweza nipatia namba yake,ni dada pouwa alinisaidia sana miaka hiyo natangaza kipindi kimoja cha shirika la umma pale RTD kabla sijaruka huku ughaibuni yeye na akina Salama,Siwatu,Aleysia Maneno,Aloysia Isabula na kina Uncle J,Malima na CHaaaaziiii,plzz nitafutie namba yake nimjulie hali.
ReplyDelete