almanusra jah kimbute anifanye kuwa mwanamuziki enzi hizo. hapa anajaribu kunifundisha kupiga drams pale ymca. bahati nzuri ama mbaya nikachomoa na kubeba kamera. la sivyo saa hizi ningekuwa kama awilo...samahani picha haioneshi vizuri, lakini ndo hivyo tena. teke linalokujia la wakati huo lilikuwa bado linabipu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Brother Michu!
    Ama hakika umetoka mbali. Bila kukimbilia kamera, tungekuwa tunakuona jukwaani kama mwanamuziki muhamasishaji. Hujatudokeza! Hivi ulijaribu kufuga rasta?. Luihamu upo?

    ReplyDelete
  2. Michuzi,
    tumwagie picha kama hizi kwa wingi...

    zinatukumbusha mbaali saaaanaaaaaa

    ReplyDelete
  3. Hata mimi nazimaindi sana picha hizi za "zilipendwa."

    Tumetoka mbali!

    ReplyDelete
  4. Huyo mtoto atakuwa alifanikiwa kuipiga ngoma aliporefuka

    ReplyDelete
  5. Michuzi sema kweli, ulikimbia kujavuta mche nini?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...