Home
Unlabelled
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hapa nimekubali, lakini asiharibikiwe tu `akipata umaarufu mkubwa. Mtoto yuko fiti!
ReplyDeleteNyinyi wa Tz, huyu mtotoshoo ndanda yake Alek Wek wa Nsundani?
ReplyDeleteFace of Africa in the making, akitaka kufanya vizuri katika mashindano ya kimataifa inabidi aanze kuusoma vizuri the modelling game sio anaingia kichwa kichwa. Research, work hard and drop it like it's HOT girl that's all I can say!
ReplyDeleteThis comment has been removed by a blog administrator.
ReplyDeleteDemu ana kila kitu huyo na anaweza kufika mbali sana ila mambo mawili yazingatiwe
ReplyDelete1) wale mabingwa wa kuharibu watoto wadogo bongo wamuache kama alivyo wasije wakamuharibu kama wema sepetu, jenifer john, odemba, fideline iranga, " Jamani hamuchoki ?????"
2) Naomba binti ukiwa famous usilewe masifa maana kudrop rahisi si unamkumbuka MWISHO?? ODEMBA na Wengineo wengi be proffesional focus on ur work
We Atereri tuachie sisi wenyewe dada wetu! Baki huko huko kwenu, wala hayakuhusu! Mtotoshoo ndanda yake..., maana yake nini!? Utakuwa Mkenya tu wewe. Baki na wakeketwaji wenu Wakurwa na na Wajaluo huko! Sisi tumepioga marufuku huku.
ReplyDeleteSaa Sunday, February 18, 2007 2:09:00 AM, Mtoa Maoni: Anonymous
ReplyDeleteUna maana Jennifer John watu wanapiga? Ameolewa jana. Sasa watu wanamsaidia huyu mme wake? Hebu tupe details tafadhali.
Wewe Anonymous wa saa Sunday, February 18, 2007 1:52:00 PM, hunjui kwaba hata huko TZ kumenjaa wankenketwaji! Neda shule ukasomee mabo ya ethnology! Utaamka kutoka usigizini.
ReplyDeletesure sure aaaaanauzika...akikazana atafika mbali saana
ReplyDeleteWe Mkenya hapo juu, Monday February 19, 12:31 huhitaji kwenda shule kusoma Ethnology ujue kuhusu kukeketwa! Wakeketwaji wako mpaka West, East ya Dunia. Sidhani kama wewe ndo shule yako hiyo, maana naona unasoma vitu ambavyo haviko kwenye wakati. Nilichosema mimi pale juu ni kwamba wengi dada zako huko kwenu wamekeketwa kuliko TZ. Tumia Ethnology yako kusaidia kukomesha ukeketwaji huko na siku kusomea namna ya kukeketa! Ukariri, usome uelewe!
ReplyDeleteNa wewe kama una ndanda anayetaka kukeketwa, mlete huku! Huwezi kusimamisha njua!
ReplyDeleteWe Atereri, naona umepagawa na ukeketwaji! Unaona raha kuwa na dada zako waliokeketwa!? Pia na marafiki zako wa kike waliokeketwa!. Mimi last time nilipokutana na mwanamke aliyekeketwa, nilipoteza hamu ya sex. Nilijawa na huruma kubwa sana kwake, kwani nilijua ameshakoseshwa moja ya raha kubwa kabisa za ki-dunia. Hataweza kuishi Duniani na kuweza kujua raha katika ngono ilivyo. Hata wewe Atereri, unajisikiaje kutembea na mwanamke ambaye ha-respond kwenye kitendo cha NDOA?!! Nyie ndo mnaobaka, maana huwezi tofautisha.Utafit usio rasmi unaonyesha kuwa wabaki karibu wote wanatoka kwenye makabila ya ukeketaji.
ReplyDelete