Home
Unlabelled
gari
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Kula lekii..... kama long beach Cali.... ona Minazi na Barabara.... na Juua la jioni...Bongoo mtoni. Ulaya nikafanye nini? mtakaa Ughaibuni mtaishia kubeba MABOX na Kumiss Chips Mayai, hata Bongo unaweza ku push H2... Ku-komaa tuu... bado yangu anayebisha anipe till December utajijunashule@yahoo.com
ReplyDeleteDuh, picha hii utasema Baghdad, maana huko nako 'Hummer'/Humvees zimejaa barabarani! ...naambiwa dude linakula wese hili si mchezo!
ReplyDeletehela za rushwa tu hizo na mikataba feki hamumtishi mtu, tulikuwa impressed enzi zile wakati hatujui ukweli but now tulishafunguka macho pumbaf nyie, hela nzuri ni ya kuitolea jasho
ReplyDeletewe anonymous una kichwa cha kunguru,we unawaza chipsi mayai,watu wengine hasara,ndiyo maana tuko kiwanja babaake sababu huwezi kuwaza pumba unazoziwaza,we unajua watu wako kiwanja wanabeba box,we kaaga bao na kikwapa chako,je umeoga leo?
ReplyDeleteYaah hilo ukinunua unanunua na kituo cha kuwekea mafuta jinsi linavyokula wese.
ReplyDeleteBongo pazuri sana kama pesa unazo, kama huna utapachukia. Hizo Humvee utaziona zinapita tu na hayo mandhari kamwe hutayaona sababu ya njaa kali. Wabeba mabox wanatafuta, hawapo ughaibuni kula nchi, wakishachuma wanaleta hayo mahumvee, lazima ujue hayo kaka.
ReplyDeleteWENZAKO WANAKULA PESA ZA RICHMOND, ZA RADA NA NYINGINEZO TELEEEE...WEWE MSWAHILI UNASHANGILIA KAMA ZUZU, UNASEMA KAMA CARLIFONIA!!
ReplyDeleteAnonymous wa kwanza hapo juu,fikiria kabla ya kulipuka madudu yako.Kuna haja gani ya ku-push H-2 kwa wese la kuibia? mara Tshs 1500 mara 2000.....
ReplyDeleteTazama maisha halisi.Oo..may be bado unalelewa.And just for your own information,hatuko ughaibuni kwa ufahari,ni nia yetu ya kutengeneza our future,at least some of us.
Wewe anony wa kwanza kabisa, acha UPUMBAVU. Nani kakwambia kila mtu nje anabeba mabox? Kwa taarifa yako kuna waTanzania nje wana kazi nzuri, kiasi cha kuweza kulisha wilaya, pamoja na kujenga shule, na kuwanunulia magari watendaji wa serikali yenu huko. Kuna waTanzania ambao wana professions zilizo highly demanded/marketable. Kuna engineers. doctors, accountants, etc ambao wanaingiza(mshahara)kuanzia 50 million Tsh. kwa mwaka na kuendelea, tena hiyo ni low estimate. Sasa wewe na kichwa chako kaa chini endelea kufikiria kuwa kila mtu aliye nje anabeba mabox. Tatizo wewe una roho ya korosho, maneno yako ni maneno ya mkosaji. Aishie nje kubali tu kuwa amekupita kwa vingi sana. Amepata exposure zaidi yako, regardless ya career aliyonayo, wakati wewe uko hapo Dar unapigwa na jua na vumbi, na kuparamia daladala na malaria kila wiki. Badala ya ku support wenzako walio viwanja, unawasema vibaya. Jealous is disease. Get cured before it's too late homie. People here work, make money, spend money, and live worry free life. Give a try, you may get hooked up too homie.
ReplyDeleteEla za RUSHWA/MIKATABA FEKI? Sawa.... Zilinifuata Nyumbani? I worked for it Hommie! Jiulize Kwa nini Ujapewa wewe?
ReplyDeleteREPLY ON CHIPS MAYAI.... Mtoa Maoni: Anonymous, Saturday, February 17, 2007 6:44:00PM Shut up! Ume-translate too literal, Read between the lines Bro..
Kipi bora.... hizo hela ziende kwa Wahindi au zibaki kwa weusi kama mimi? Cause we just cant stop the RAIN!
Fuck the Patriotic shit.. Mzee wangu alikuwa Patriotic worked for 40Years by the end of it... he couldnt even afford a one month holiday to Zanzibar, U still ask me to be Mzalendo?
Wewe unaongea kuhusu EXPOSURE, i bet ma Secretary passport got more VISA Stamps than urs.. unapisha email me utajijunashule@yahoo.com
Professionals..? Tshs 50Mil/year? U wana know how much more than that, a 25 Years Tanzanian out of his Proffesion can make? Holla at me brother!
Kuna tofauti kati ya Kuwa na uwezo wa ku-fund serikali... na ku-actually funding it, We hata ukinunu VX mbili kwa serikali unalala Njaa.... U sound cheap.
Yenyewe.. lets not HATE and Learn to APPRECIATE.
Bongo... FOR LIFE and i Still gona bring over the H2 December, Mkitaka akikisha nitumie email utajijunashule@yahoo.com
kuwa na hammer hakubadilishi uhalisi kuhusu nchi kama TZ, hizo gari wanajeshi wanatumia ktk vita Iraq. Ni expensive car, kama unayo basi ukoo wako wote angalau wanatkiwa wawe na baiskeli na hela ya shule(karo), otherwise mpumbavu tu.
ReplyDeletec me in ATLANTA .
hehehhhhh jamani kutesa kwa zamu,wala sioni haja watu kuumia roho....mnakumbuka miaka ile...ohhh Iddi J.Sasa dereva wa maharusi.ahhhhh.Sasa wewe hilo H.Litamshinda tu.KUTESA KWA ZAMU.Pia kuna watu wanayo hayo kwa pesa zao wenyewe si pesa ya dhuruma.
ReplyDeletewe limbukeni endelea kula rushwa huku unalala kwenye giza kusubiria umeme wa mgao kwanza unaoga maji ya baridi ya kuchota kisimani kila siku pumbafu wewe na unalala kwenye chandarua kwanza sidhani hata kama unalala usiku. nyumba ina ma-grill ka gereza bado unakesha kuogopa majambazi. life gani acha si tu-push Cadillac CTS zetu, pamba safi, home safi tulakula raha unyamwezini na tukishuka bongo demu wako, sister sijui nani nani wanajirengesha ka kawa kwa wanyamwezi.
ReplyDeletejaribu tena kuomba visa usikate tamaa unaweza kupata, hivi umenyimwa mara ngapi vile? 10 au?
Kama jamii ingeangalia kukuza uchumi na kupunguza UFAHARI usikuwa wa lazima tungeweza kusogea. Barabara zenyewe hakuna, maji tabu, umeme tabu, shule mbovu, hospitali duni, jamii inapaswa kuwatizama watu wa namna hii kama WASALITI, nina imani kwenye ukoo wake watu wameshindwa kwenda shule kwakukosa KARO.
ReplyDeleteJamani ushamba ushamba tu...huyo anayejiita utajijunashule@yahoo.com... I smell 4th grade on him/her...Yuko so desparate na anahitaji therapist manake you can tell frustration zake kwa alivyoandika hapa.. We passport kugongwa mihuri basi umeona raha sana. Jinga tu...Mungu akunyime vyote akupe akili. Ndio maana utajiri wa hawa watu ni wa zamu zamu tu...Kwa vile no brain...
ReplyDeleteWewe ...unasema tuku email iliutuonyeshe hiyo mihuri kwenye passiport yako...sie itatusaidia nini...Mimi vitabu nimeshajaza viwili within 5 yrs lakini sioni ni big deal.
Show me your bank account...How much first you have in your bank account?
Email yenyewe inaonyesha your cheap personality na shule ulishindwa sasa unatoa gubu.... Who has time for that?...
Wewe ndugu zako wanakufa na njaa unakalia mihuri kwenye passport na H2.... Kama unaingiza si lako wewe macho yanakuwasha nini...Kwani lazima utangaze? Maikini akipata matako hulia mbwata
Unasema a 25 yrs old Dar wanamake 50,000,000 tshs. How many we are talking here? Kwanza wakiambiwa waonyeshe hiyo hela wameipataje hamna hata mmoja atatokea. Huku siye tuna file tax na ni hela ni halali...Naweza kuipeleka popote duniani...nyie mwaweka kwenye breafcase kwa vile ni hela ya uizi. wanza anayemake btn $25,000 na $50,000 per year ujue huyo ni full time student pia. Watu wanaofanya kazi baada ya shule wanamake real good money na majority ninaowajua wote wamejenga bongo na ndugu wanawasaidia sana tu
So grow up
WALA MSITISHIKE NA KITU, WANAOENDESHA HAYO MAGARI (YAKO MAWILI DAR) NI WATOTO WA BAKHRESA.. HAO NI MABILIONEA (PESA YA BABA) HUYO WA KWANZA NI MSHABIKI MUOTA NDOTO ZA ALINACHA!!! ATABAKI KUSHANGILIA TUU. NDIO HAO WAKIONA MSAFARA MREFUU WA LAND CRUISERS ZA RAISI WANASHANGILIA KAMA ZUZU..
ReplyDeleteKwakweli gari limetulia... najaribu kutafakara wese bongo lilivyo ghali.... wanahitaji pongezi wenye kuweza kulimudu!
ReplyDeleteIla comments za hapo juu zimenisikitisha! Kwanini siku zote watu wakiona kitu kizuri lazima wakichafue? Yaani kuona tu kwamba gari ni la bei ghali basi tayari inawekewa alama ya kuuliza kuhusu rushwa? Ina maana hakuna mtu mwenye uwezo wa kuweka hela zake zikafika kiwango hicho bila kufanya ubaya? Kizuri sifia jamani, loh!
Hold it!
ReplyDeleteThis is not Humvee or H2!!!
This is H3, yaani "mdogo wake" H2.
H3 na kama ni RHD, then its South African Assembled, Haili wese kama mnavyodai kwani engine volume max 3Lit. Size na bei ni less than H2 ila uroda ni kama H2. Escalade au Cayenne hata factory tuned V100 zina bei kubwa. Blackmpingo