nala kuku kwa mrija kaskazini ya zenj...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Tanzania tunakula sana chipsi kuku na mayai siku hizi.ni vyema tuanze kupunguza utamaduni huu.wakati nilipokuwa mdogo utamaduni huu haukuwepo na magonjwa ya mishipa ya damu kama stroke ilikuwa sio kawaida.hivi sasa stroke Tanzania ni ugonjwa wa kawaida mpaka watoto wadogo wanaujua!na kesi za vifo vya ghafla imekuwa ni jambo la kawaida sana.

    ReplyDelete
  2. Misoup,

    Huyo mwenzako kwenye tebo mbona umemwondoa wakati unapiga picha. Ni sebule ndogo nini haukutaka, my wife wako ajue

    Ha ha ha ha ha ha ha , umenitamanisha kuku kaka, kwa wazungu huku kuku wa kisasa sio kuku kabisa. Mikuku ya Bongo, kama wale wa Dodoma na Singida kwa wale wanapitia mitaa ya kati we acha tu.

    Big Up Mkuu

    ReplyDelete
  3. Simba kasingiziwa!

    ReplyDelete
  4. Michuzi inaonekana ulikuwa na my wife wako huko valentine, lakini cha ajabu hutaki aonekane kwa blog! Vipi kaka, unaogopa wadau wataua au! Muweke tumuone tujue nani anakutunza....

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...