wema kipata lanchi na mwandaaji wa miss tz hashim lundenga (shoto) na jamaa mmoja ambaye jina sikuweza kulipata mara moja. wote wameshangazwa na tuhuma kibao zilizomwandama dada wa watu huyu hivi karibuni, na wamezikanusha zote na kusema hiyo ni mtimanyongo ya waswahili wasiopenda mazuri na wamenihakikishia kwamba hayo yote kwao ni kama maji ya moto ambayo hayawezi kuchoma nyumba...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. Huyo jamaa mwingine anaitwa William Kalaghe yeye ni Meneja masoko kama sijakosea kama si mkurugenzi wa NBC Bank. Ni Man U fan wa kutupwa. Good man

    ReplyDelete
  2. Sasa huyo Mh. Lundenga nae anachukua chati kwa kuwalamba hao ma-miss sijui hilo nalo.... anatakiwa mtu mwenye busara na asiwe na tamaa maana kila siku anazaliwa miss sasa atalamba wangapi?

    ReplyDelete
  3. lundenga hiko kilikua kikao cha kumuuza huyo binti kwa huyo kaka

    ReplyDelete
  4. Jamani kwani yamempata nini huyu dada? Michuzi ebu nieleze!

    ReplyDelete
  5. Unajua sisi wabono tuna mambo sasa mbona iki kikao hatuwaoni wakina Lisa,Jocate na wengineo?au ndio chakusemwa kuhusu tabia ya uyo dada maana amenifanya mimi nikataliwe na mamy kuingia katika umiss UMETUHARIBIA WEMA UNATABIA MBAYA SANA WW DADA KWANI UKIFANYA MAMBO YAKO CHINI CHINI KUNA NINI MPAKA UYAANIKE HADHARANI?ONA WAKINA NANCY,JACQ,NA WENGINEO UNATAKA KUNIAMBIA HAWANA BF AU NDIO WW UMEPATA BAADA YA KUWA MISS NAWEZA KUKUITA LIMBUKENI WA WANAUME.JIREKEBISHE UNAHARIBU HESHIMA YAKO.NINA MENGI ILA KWA SASA NI HAYO TU.

    ReplyDelete
  6. Michuzi huyu Ni william Kallaghe wa NBC Ltd,sio kweli kwamba kikao hiki ni cha kumuuzia huyo binti hizo sio zake huyo.

    Michuzi nasikia miss tanzania no 2 wa mwaka fulani JENNIFER JOHN anaolewa mwezi ujao na SEND OFF IKO NJIA moja KWA MUME WA MTU fanyia utafiti utupe habari na LUNDENGA akusaidie.

    ReplyDelete
  7. hapa ni wapi? mbona glass nyingi sana mezani, wakati kuna watu watatu tu? au ni mimi na ushamba wangu ndo maana nashindwa kuelewa kuwa kuna glass za aina hii za maji, juice, togwa, chang'aa, etc? hebu michuzi nielewehse maana hii pic umepiga wewe.

    ReplyDelete
  8. yaani glass 13 kwa hesabu ya harakaharaka, kaka hii ni wapi hapa? mbona imenichanganya kidogo. ushamba nao kazi jamani.

    ReplyDelete
  9. HAPO GESTI NYIE HAMPAJUI?

    ReplyDelete
  10. Hizi glass too much. Wanashangaza. TUnajua Wine ukinywa lazima uletewe glass mpya kila kipimo. Lakini glass kujaa mezani hivi, haiiingii bongoni kwanini!?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...